nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Jan 11, 2012 #2 hahahaha huyu mzee wa wapi jamani hivi haoni aibu sidhani hata kama dushelele yake inafanya kazi
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Jan 13, 2012 #10 Tudingi kama hutu tunapigaga show za hatari,si mnaona kalivyo mshika switi hati wake.
Bumpkin Billionare JF-Expert Member Jan 5, 2012 1,332 621 Jan 13, 2012 #11 Michelle said: Age is just a number....hoto: Click to expand... Maneno ya nje, maneno ya ndani ni 'hili zee lingekuwa na nguvu kama BM'
Michelle said: Age is just a number....hoto: Click to expand... Maneno ya nje, maneno ya ndani ni 'hili zee lingekuwa na nguvu kama BM'
VIVA P New Member Jan 6, 2012 4 0 Jan 13, 2012 #12 mapenz kizunguzungu babu anajua kutunza vijana wanasumbua ati
cheusimangala JF-Expert Member Feb 27, 2010 2,585 497 Jan 13, 2012 #13 alivyoshika hiyo nyundo nahisi anatoa onyo kwa vichche wanaofuatilia mali zake.
serio JF-Expert Member Apr 15, 2011 7,306 4,681 Jan 13, 2012 #14 Jeji said: ahh! kijana wa zamani huyo!!! Click to expand... daaah, old habits die hard.!!!!
Bigirita Platinum Member Feb 12, 2007 15,986 7,366 Jan 13, 2012 #15 Duh!!! Aseeee.......wazee wa hivyo wanapiga wake za watu hao......hapo kijijini anaweza akawa amekula wanawake wote.
Duh!!! Aseeee.......wazee wa hivyo wanapiga wake za watu hao......hapo kijijini anaweza akawa amekula wanawake wote.
P pera Senior Member Jul 19, 2011 148 16 Jan 13, 2012 #17 mzee kama huyu ukimkuta na demu wako utafanyaje?
KIMICHIO JF-Expert Member Aug 12, 2010 1,179 80 Jan 13, 2012 #18 Picha ya long time sana humu anyway old is gold!!!
Aggrey86 JF-Expert Member Jun 26, 2011 853 155 Jan 13, 2012 #20 Haaaaha!! hivi babu anajua picha yake ipo jf! hz picha wanaopigwa sijui huwa wanafahamu dah!