Swali

Swali

GEoff leo umenichekesha ila mbona hadi umeamua kwenda page by page -kuna kitu unatafuta ili uhalalishe kwa MSHIKI nini?
 
kwa kweli mimi nisamehewe tu ila simu ya my hasbendi nashika muda wowote naotaka, lakini pia habari ya amezima au hajazima sijawahi kuifikiria wala hainisumbui. Hata hivyo sipendi simu au message za usiku ziwe zangu au zake coz zinadisturb usingizi na mengineyo. so ningependelea simu zote zizimwe usiku.
hehehe!nikiongeza neno hapo nitakuwa mnaa!wakinamama wenye-serious commitments zao utawaona tu!SENKSI SENKSI SENKSI!....kasibitishe
 
cku hizi mie cjui ndio nazeeka, wala cmjali na licmu lake, azime awashe alalie chini ya mto atajijua mwenyewe, mwambie mdogo wetu aachane na cmu ya huyo huyo shem, akili zake azihamishie kwa hao twins wetu...mweh
mama hauzeeki!hiyo ni NATURE!...mtuache wanaume tudumishe milaaaz..adhawaisi nani atakayepumzika na ma-baamedi?😀😀

tunawashukuru sana wakina-mama...!MBARIKIWE

NIKO PAGE YA KUMI
 
Ni lini wanawake watajua kuwa waume zao wanawanyima kugusa simu zao kwa kuwa wanawapenda sana...........................???
 
Unajua mtu mzima hafundishwi what is right and what is wrong. At that stage a whole grown up man huwezi kumfundisha. we are not their mothers for God's sake, so we expect respect from them at least, na hiyo nayo akishindwa thats another case. Cheating they will always cheat that one is for the record! I would just advise ladies to relax and enjoy this life while it lasts and not spend your days worried about a full man who knows what he is doing. Got no time for that and I thank God.
HIVI WE MWANAMAMA...?!unaweza kuwa na muda nikukutanishe na mshiki umpe vyointi?😀
 
MJ1 mpenzi., mi msimamo wangu nimeshauweka kuwa huwa wote tunazima simu...na tukiwa mbali mbali ndo hatuzimi kwa vile nimmiss saa yoyote au dharuara basi inakuwa rahisi

na ikitokea kuwa inabidi izimwe unapeana taaria kabla. ssuala la kushika au kutoshika hilo ni jingine an anadhani haoa tumeshaliongelea sana..hapa ishu ni kwa nini simu izimwe usiku

na pi nilisema kwa vile anazima akiwa likizo kwa mkewe that is perfect kwa sababu anahitaji kupumzika.
.

mdogo wako anahitaji kuongezewa imani ya uaminifu kwa mumewe na yeye pia kujiamini. Mlete kwangu.
kwaresma njema kiongozi....😀😀
 
Ni lini wanawake watajua kuwa waume zao wanawanyima kugusa simu zao kwa kuwa wanawapenda sana...........................???
duh nimekubali so na mie nawezaitumia kama njia ya kumwonyesha hubby jinsi ninavyompenda?
 
Yaani DC unefafanua ungekuwa umenitendea haki kweli kaka yangu please. It seems una elimu hapa umeibania

MJ1,

Kuna kipindi kimoja alionesha Oprah, kiliitwa; "Listen to your heart". Alikuwa anawahoji watu ambao waliona dalili za hatari kwenye mahusiano lakini wakadharau. Yaliyowapata ni makubwa. Kila kitu kina indicator signs. Na hii ya mshikaji wako ni mojawapo. Kwa hiyo hapo mambo yalivyo siyo mswano kabisa. Ningekuwa mimi ningemnunulia simu nzima isiyo na matatizo na charger ili tuone atasemaje. Kuna mengi zaidi ya charger na ukizingatia kuwa ni tabia iliyozuka ghafla. Plse mwambie mama achunge mzigo wake wa ndani kwa karibu. Mambo yalishaharibika siku nyingi sana. Hizi ni terminal signs. Wakurya wanasema kuwa "amang'ana gasirikire". Asifanye mchezo achukue hatua haraka.
 
Unajua mtu mzima hafundishwi what is right and what is wrong. At that stage a whole grown up man huwezi kumfundisha. we are not their mothers for God's sake, so we expect respect from them at least, na hiyo nayo akishindwa thats another case. Cheating they will always cheat that one is for the record! I would just advise ladies to relax and enjoy this life while it lasts and not spend your days worried about a full man who knows what he is doing. Got no time for that and I thank God.

Baelezee bandugu baelewe! Unaweza ukawa unashika na kupekua simu yake muda wowote unaotaka, mnashea usafiri wa kwenda kazini na kurudi nyumbani, lanchi mnakula pamoja, na jioni kwenye moja moto, moja baridi mko pamoja!

Halafu siku ya siku utakuja kusikia amezaa na mwanamke mwingine huko Tandika, kamjengea na nyumba! Utabaki unajiuliza huo muda aliupata wapi. Unasahau kwamba siku moja ina masaa 24 na mwaka mmoja una siku 365 na robo!!!
 
give us scientifically evidence to prove ur point... mie sipekui simu yake lakini doesnt mean I am OK with him screwing other women... 🙄 kama anafanya siri siwezi kujua lakini akianza dharau ya kinionyesha then its a totally different issue..
hakuna sayansi kwenye mahusiano...!chukua biblia takatifu au kuraan anza kuwasoma watu mule utachoka...!

KUANZIA IBRAHIMU,MPAKA DAUDI SOLOMONI N.K...!

kasome mabinti wa MOABU walichomfanya baba yao UTACHANGANYIKIWA!....

ACHANA NA SCIENTIFIC FINDINGS KWENYE LOVE BANA!love is life
 
sasa tunaweza kujadili kwa pamoja!nipo page ya 17...!lakini kila kitu kipo clear,na wakinamama wamekubali kunata na BEATS!geoff eeh,hebu angalia kilicho chako mezani pako rudi nyumbani
 
duh nimekubali so na mie nawezaitumia kama njia ya kumwonyesha hubby jinsi ninavyompenda?

Mimi nilidhani simu ya mtu ni kama jina lake au dole gumba lake, yaani its a personal property and has got nothing to do with anybody else. Nahisi katika vitu vyote, simu inawezakana ikawa siyo ''matrimonial asset''...(!?)

Wanaofanya kazi kwenye makampuni za simu watusaidie, je wakati wa kusajili namba za simu, kuna hata ''couple'' moja ilikwenda kusajili namba ya simu moja ajili ya watu wawili? Say ''Mr.& Mrs. Masaki'' (!?)
 
unajua chriss wewe una sheria fulani ngumu sana kama ni kweli upo serious ninayoyasomaga kwako...mie ungekuwa umeshanipa talaka zamanii....unavutia sana upande wako!

serious na key board tu kwa mama Matesha huu woote utani tu.....
 
MJ1,

Kuna kipindi kimoja alionesha Oprah, kiliitwa; "Listen to your heart". Alikuwa anawahoji watu ambao waliona dalili za hatari kwenye mahusiano lakini wakadharau. Yaliyowapata ni makubwa. Kila kitu kina indicator signs. Na hii ya mshikaji wako ni mojawapo. Kwa hiyo hapo mambo yalivyo siyo mswano kabisa. Ningekuwa mimi ningemnunulia simu nzima isiyo na matatizo na charger ili tuone atasemaje. Kuna mengi zaidi ya charger na ukizingatia kuwa ni tabia iliyozuka ghafla. Plse mwambie mama achunge mzigo wake wa ndani kwa karibu. Mambo yalishaharibika siku nyingi sana. Hizi ni terminal signs. Wakurya wanasema kuwa "amang'ana gasirikire". Asifanye mchezo achukue hatua haraka.
Aksante nilijua tu kuna hazina iliyojificha kwenye post yako.

nyamayao, Carmel, bht, Kaizer na wengineo wote please hebu tutafakari upya. Muda wa kukaa na kuimba wanaume ndivyo walivyo umeshapitwa na wakati kwetu kina dada tutakuja angua vilio vya mbwa midomo juu machozi chini

Wakaka- Napend amjue kuwa si ufahari wala ushujaa kuchezea maisha yako, ya mama watoto wako huku ukihatarisha life za watoto wenu. Usichukulie kuwa mtiaji nje ndo ufahari no wewe kwangu ni kidume cha mbegu no matter how it comes so huhitaji kujustfy kwa watu wa nje kuwa we kidume

Madhara yake ni makubwa sana ikiwemo ugonvi na picha mbaya mnazoziacha nyuma mnapokuwa mmetangulia mbele za haki pale kina mama tunapoletewa watoto wa nje msibani.

Najua mtasema ukimwi hata siye tunawezakuwaletea nakubali lakini kama mlivyokubali kwenye thread hii mnahalalisha si vizuri.

Hivi X-pin uko tayari kumletea matesha wako kipenzi magonjwa ya zinaa pamoja na UKIMWI? Mtasema mkiwa nje mnacheza salama msitudanganye hapa
Geoff uko tayari kweli MSHIKI uliyemfungia safari hadi Makambako umtende ya kumtenda? Kina Kaizeer, n.k jamani fikirini mara mbili mbili

Kina dada- nyamayao, carmel, bht, charity, na wengineo kweli mtajisikiaje pale mtakapokuwa mmejitunza kwa uaminifu wenu ndani ya ndoa halafu ghafla maisha yanapinduka juu chini chini juu? Pale ambapo baba watoto anapoanguka ghafla ikagundulika ni AIDS imesababisha na wewe ukajikuta umeambukizwa. Wanao wanabaki wenyewe


Na mbaya zaidi unakumbuka zile signs ambazo ulikuwa unaonyeshwa ukapuuzia?
 
Mimi nilidhani simu ya mtu ni kama jina lake au dole gumba lake, yaani its a personal property and has got nothing to do with anybody else. Nahisi katika vitu vyote, simu inawezakana ikawa siyo ''matrimonial asset''...(!?)

Wanaofanya kazi kwenye makampuni za simu watusaidie, je wakati wa kusajili namba za simu, kuna hata ''couple'' moja ilikwenda kusajili namba ya simu moja ajili ya watu wawili? Say ''Mr.& Mrs. Masaki'' (!?)

hahaaaaa huu sasa mzaha wewe!!!???
 
Mimi nilidhani simu ya mtu ni kama jina lake au dole gumba lake, yaani its a personal property and has got nothing to do with anybody else. Nahisi katika vitu vyote, simu inawezakana ikawa siyo ''matrimonial asset''...(!?)

Wanaofanya kazi kwenye makampuni za simu watusaidie, je wakati wa kusajili namba za simu, kuna hata ''couple'' moja ilikwenda kusajili namba ya simu moja ajili ya watu wawili? Say ''Mr.& Mrs. Masaki'' (!?)
Kumbe hii mnaifahamu!! Iweje sasa cm zetu ziwe zenu na zenu ziwe zenu???
 
Aksante nilijua tu kuna hazina iliyojificha kwenye post yako.

nyamayao, Carmel, bht, Kaizer na wengineo wote please hebu tutafakari upya. Muda wa kukaa na kuimba wanaume ndivyo walivyo umeshapitwa na wakati kwetu kina dada tutakuja angua vilio vya mbwa midomo juu machozi chini

Wakaka- Napend amjue kuwa si ufahari wala ushujaa kuchezea maisha yako, ya mama watoto wako huku ukihatarisha life za watoto wenu. Usichukulie kuwa mtiaji nje ndo ufahari no wewe kwangu ni kidume cha mbegu no matter how it comes so huhitaji kujustfy kwa watu wa nje kuwa we kidume

Madhara yake ni makubwa sana ikiwemo ugonvi na picha mbaya mnazoziacha nyuma mnapokuwa mmetangulia mbele za haki pale kina mama tunapoletewa watoto wa nje msibani.

Najua mtasema ukimwi hata siye tunawezakuwaletea nakubali lakini kama mlivyokubali kwenye thread hii mnahalalisha si vizuri.

Hivi X-pin uko tayari kumletea matesha wako kipenzi magonjwa ya zinaa pamoja na UKIMWI? Mtasema mkiwa nje mnacheza salama msitudanganye hapa
Geoff uko tayari kweli MSHIKI uliyemfungia safari hadi Makambako umtende ya kumtenda? Kina Kaizeer, n.k jamani fikirini mara mbili mbili

Kina dada- nyamayao, carmel, bht, charity, na wengineo kweli mtajisikiaje pale mtakapokuwa mmejitunza kwa uaminifu wenu ndani ya ndoa halafu ghafla maisha yanapinduka juu chini chini juu? Pale ambapo baba watoto anapoanguka ghafla ikagundulika ni AIDS imesababisha na wewe ukajikuta umeambukizwa. Wanao wanabaki wenyewe


Na mbaya zaidi unakumbuka zile signs ambazo ulikuwa unaonyeshwa ukapuuzia?

MJ1,

Suala la cheating linauma sana. Tena wanaume wakiibiwa wanaumia kuliko unavyoweza kuelewa. Lakini wanapoanza uchokozi ambao unaishia kwenye uzinzi nje ya ndoa, wakati mwingine mambo yanaanza kimzaha mzaha, ingawa kuna wale wanaonuia hata kufuata ma-CD. The bottom line is, "cheating is murder, no matter what".
 
Back
Top Bottom