MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,588
- Thread starter
- #141
Aksante nimekuelewaMJ1 mpenzi., mi msimamo wangu nimeshauweka kuwa huwa wote tunazima simu...na tukiwa mbali mbali ndo hatuzimi kwa vile nimmiss saa yoyote au dharuara basi inakuwa rahisi
na ikitokea kuwa inabidi izimwe unapeana taaria kabla. ssuala la kushika au kutoshika hilo ni jingine an anadhani haoa tumeshaliongelea sana..hapa ishu ni kwa nini simu izimwe usiku
na pi nilisema kwa vile anazima akiwa likizo kwa mkewe that is perfect kwa sababu anahitaji kupumzika.
.
mdogo wako anahitaji kuongezewa imani ya uaminifu kwa mumewe na yeye pia kujiamini. Mlete kwangu.
hapo kwenye nyekundu , ngoja narudi kusoma tena!