Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
wapwa na mabinamu mi nina mtizamo tofauti kidogo
Kimsingi sioni justifiable reason kwa nini mdogo wake MJ1 awe na wa wasi wasi na mumewe
Mi binafsi huwa nazima simu usiku....kuna watu wana tabia mbaya, wanakupigia hata saaa sita saa nane kukujulia hali sijui kitu gani kwangu huo ni usumbufu
na my wife wangu pia huwa anazima tunamwomba Mungu apishie mbali mabaya yote ya usiku huo, kama lipo tulijue asubuhi.
Hii ni kwa sababu ya kupata muda wa utulizu na my wife wangu. Ikitokea nimesafiri au amesafiri hapo simu iko jewani 24/7.
ndio maana simshanga huyu bwana. sana sana amsomeshe kuwa ni nzuri kwa afya ya ndoa yao. Na kamwe asidanganyoke kujitia kutaka kuichokonoa kama hana mazoea hayo kwa sababu itajenga picha mbaya kweli kweli.
MJ1, mpigie mdogo wako. Mwambie kila kitu kiko shwari unless kuna TATIZO jingine lakini kama ni hili tu, atulie. Amekwambia kama wanadumisha mila kama kawaida au kuna tatizo?
Mbona watu wanayatafuta matatizo huko yaliko jameni?
sasa huyu yupo mbali na mkewe kwanini azime cmu tena ucku kwa ucku tu?