Wapendwa wa CC wanzangu kuna kitu kinanitatiza naomba maelekezo yenu tofauti ya MAPENZI na MAHABA ni nini?
Judgement nina mapenzi na wewe!!!
Shikamoo kaka KARIA.
Nyumbani hawajambo?
Nisalimie sana.
Afu ndo nini kunichomesha mahindi siku ile pale?
Nijibu nami nitakujibu.
Naam hayo mapenzi yako na Judgement ni ya baba na bintiye charminglady.
Ila hapo hakuna mahaba. Mipango yetu inaendeleaje lakini? Hao fish ushaanza kuwafuga?
Kumbuka January..... Na Mazibuzi ya masikio ya kijacho..Don't let me chini.