RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,864
- 4,110
Hivi inakuaje unakuwa na mtu mnafahamiana kwa sababu mlisoma wote O-level tena ni mwanaume mwenzangu kila akinipigia simu lazima aniulize shemeji hajambo? Na hafahamu na sijawahi kumwambia kama nimeoa na wala demu wangu hamfahamu maana ni miaka hatujaonana
Swali kama ilo naona la kiwaki balaa, au kwa upande wenu wadau swali kama hilo huwa mnalichukuliaje?
Swali kama ilo naona la kiwaki balaa, au kwa upande wenu wadau swali kama hilo huwa mnalichukuliaje?