Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Hayati Rais Magufuli ni Msukuma na amekuwa akipita maeneo mengi na kusema ni watani zake, kwa Dar, Wazaramo ni watani zake, Of coz Wasukuma ni watani wa makabila mengi sana nchini.
Kawaida makabila yanataniana wakati wa misiba, sioni watani kwenye msiba huu, au tumeacha desturi zetu, au hawakutoa 'Nguto' (Huu ni msamiati wa Kingoni sijui kama kwenye Kiswahili upo)
Nadhani Mzee alipenda utani, na ni jambo la busara kutoa Nguto ili watani wafanye kazi yao.
Kawaida makabila yanataniana wakati wa misiba, sioni watani kwenye msiba huu, au tumeacha desturi zetu, au hawakutoa 'Nguto' (Huu ni msamiati wa Kingoni sijui kama kwenye Kiswahili upo)
Nadhani Mzee alipenda utani, na ni jambo la busara kutoa Nguto ili watani wafanye kazi yao.
