PostGE2025 Swali la Wiki: Wanaishi Sayari Moja na Sisi Wengine?

PostGE2025 Swali la Wiki: Wanaishi Sayari Moja na Sisi Wengine?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,240
Reaction score
44,487
Inawezekana kabisa kuna uwezekano wa asilimia 97.66 zipo sayari mbili tofauti ambazo binadamu wanaishi...haiwezekani kwenye sayari moja watu wakawa wanaangalia tofauti.

Jamaa hawana furaha wala kicheko..

Ni kama wameleta harusi kwenye nyumba yenye msiba wa watoto...na wanatenda kana kwamba hakuna mtoto aliyeuawa...wataenmdakula mapilau huko...hadi vitumbo ndi...

Msibani.
 
Ni hii sayari kiongozi.Dunia hii tunayoishi kuna viumbe wengi:watu,wadudu,wanyama,viumbe vyote visivyokuwa hai,viumbe vilivyo chini ya bahari na ziwani pia,viumbe vinavyooneka na visivyoonekana.

Kiufupi tunaishi nao.
 
Hawafurahii kwasababu wanaona aibu “kidogo tu”, lakini haimaanishi wanajali….

Wenzetu nerves system yao iko tofauti. Mashetani to the core!
Kisichowafurahisha na wanachojali ni kupata aibu tu mbele ya dunia yote lakini hawajali sana waliouwawa kikatili ili wadumishe madaraka yao.
 
Back
Top Bottom