Swali la Ugomvi: Kwani Lowassa Kawa Mganga wa Kienyeji?

This is character assassination, uovu WA Lowassa Ni WA kufikirika au kudhaniwa tofauti na uhalisia.

Mleta hoja SI bure naona karogwa na waganga WA kienyeji.
 
Mie nafikiri ili tufikie Neema tunayoitaka Watz, Mungu kaona ngoja kwanza atupitishe kwenye laana! Laana yenyewe ni kumshabikia Fisadi bila kujiuliza......!
 

Kwani siye malofa huku uswahilini si ndiyo tutaendelea kuwa wapiga kura au wataleta wa Kwao au unahofu nao watageukia magoli ya Mikono?.

Mkuu acha hofu huu ni mwanzo tu wa Nguvu ya Umma-kinachohitajika ni watu kama akina Mzee Mwanakijiji kuendelea kuwapa nafasi ya kufikiri wale ambao bado hawajaamka zoezi ambalo zaidi ya miaka kumi iliyopita MMM ameifanya kwa nguvu zake zote na ni Mungu tu ndiye anayeweza kumlipa.

Bado mimi na amini tuna vijana watakao tufikisha kwenye neema kama watasimia haki na kutumia nafasi hii ya Vuguvugu na mwamko wa wananchi-mfano.Mhe.Zitto na Chama chake ACT -Wazalendo badala ya kuelekeza nguvu kwenye Uraisi kama kweli wanataka kuwa Chama makini wangelekeza nguvu yao ndogo waliyokuwa nayo kwenye Udiwani ,lakini kwa vile Chama Tawala ina mkono wake kwenye uanzishwaji wake basi nao wamo kwenye Ugombea wa kiti cha Uraisi.

Hii ni ajali kama ajali zingine na mianya na changamoto itakayopatikana baada ya Oct.2015 kila mtanzania atakuwa na Mtazamo tofauti kuhusu hatima yetu kisiasa.
 
Last edited by a moderator:
Mwanakijiji you are wasting your time! Tanzanians have spoken: Rais wetu ni LOWASSAAAAAAAAA!!!!!!!!!!
 
Siyo jambo la kujisifia; mnafikiri nchi za wenzenu zimejengwa na watu wenye kusoma mstari mmoja? Labda ndio maana mgombea fulani hazungumzi sana kwa sababu akizungumza sana anaweza akawapoteza watu bure...

Imeandikwa ndani ya Kitabu kitakatifu kuwa Mtu anyeongea sana ni muongo .
 
Mabaya ya lowasa sasa tumechoka kuyasikia , tunaomba mabaya ya wagombea wengine ili baadae tulinganishe
 
Siyo jambo la kujisifia; mnafikiri nchi za wenzenu zimejengwa na watu wenye kusoma mstari mmoja? Labda ndio maana mgombea fulani hazungumzi sana kwa sababu akizungumza sana anaweza akawapoteza watu bure...
Tatizo lako hapa,umeandika maneno meeengiii...! Lkn hayana maana hii ndo sababu ya kuambiwa unachosha. Halafu Mzee Mwanakijiji Dunia Tz isingekuwa hivi km watu wote wangekuwa na akili na mawazo yako..! Unachokera watu siku hizi,unaandika kwa kuwafanya watu wengine km hawana akili. Tunajua lowassa ana mapungufu,lkn nani mkamilifu kati ya wote!!?? Ukitaka kujua uwezo wetu wa kufikiri,gombea ww hata ubunge tu ndo utajua nani ana akili kati yetu.
 
Last edited by a moderator:
Mpango wa katiba mpya ni matakwa ya wananchi ambayo Lowassa anayaunga mkono kwa sasa kupitia ukawa.

Hao watuhumiwa mfano babu Seya na wengine unaweza kunithibitishia bila shaka kwamba walifungwa kwa makosa halali? Njoo utuambie

Hao

Jukumu la kuthibitisha bila shaka ni la mahakama. At least kama aliona haki haikutendeka angesema ataishawishi mahakama ili kesi isikilizwe upya. Kutoa watuhumiwa wa jinai gerezani ndo mamlaka yaliyopitiliza ya rais tunayoyalalamikia kila siku. Siku nyingine akimtoa Rostam gerezani (kama atafungwa) mtawezaje kulalamika?
 
Siyo jambo la kujisifia; mnafikiri nchi za wenzenu zimejengwa na watu wenye kusoma mstari mmoja? Labda ndio maana mgombea fulani hazungumzi sana kwa sababu akizungumza sana anaweza akawapoteza watu bure...

Sawa...lakini ni wajibu wa mwandishi kuwa mbunifu kuvutia wasomaji wasiboreke wanaposoma chapisho lake. Wewe kama mwandishi huwezi epuka hilo kisa tu unadhani kuwa ulichoandika kina mashiko. Kuna waandishi wengi tu wanaandika machapisho yenye mashiko lakini ni wabunifu na simulizi zao zinavutia kusoma. Wewe MMM kama umekosa kipaji hicho, husilaumu wasomaji wako kwa kushindwa vutiwa chapisho lako, sababu tu limekosa ubunifu na linaboa, hata kama ulichoandika kina mashiko!
 
Mmesahau kuwa siasa ni imani? Watanzania waliiamini CCM kwa muda mrefu, lakini CCM imeshindwa kukidhi matarajio yao. CCM, haiaminiki tena na kwa kweli hata yenyewe inajua haiaminiki (sikilizeni kampeni zao!). Kwa jinsi CCM ilivyoongoza, ilikuwa inashangaza sana watanzania kuendelea kuipigia kura.

Watanzania wanataka mabadiliko, wameshindwa kuyapata ndani CCM waacheni wayatafute nje ya CCM.

Kwa hiyo pengine issue hasa wala sio Lowassa. Kwa namna watanzania walivyoichoka CCM, hata kama CDM/UKAWA wangemsimamisha Mzee Mwanakijiji kugombea urais, bado tungeshuhudia the same determination kutoka kwao.

Mungu anataka kutenda jambo kwa Tanzania, anataka kujibu maombi ya muda mrefu ya watanzania!
 
Uzi wako unaboa hauvutii kusoma..nimeishia para ya kwanza tuu.....hivi kwa akili yako ilivyo finyu unatushauri tuendelee kuichagua ccm pamoja na kututia umaskini wote huu????...ww utakuwa miongoni mwa wazee...maana twawezeshwa pamoja na ku edit utabiri wao walisahau kufuta kipengele cha wanaoipenda ccm na kusema ni wazee na wasio na elimu....ww elimu najua unayo ila uzee ndo umekufanya uipende ccm...poleee....
 

Wewe mzee unajitoa fahamu bure; Uraisi ni taasisi sio mtu mmoja na watu wameamua kuangalia upande wa pili bila kujali anayebeba hiyo bendera awe Lowassa au ng'ombe mzee wameamua hivyo. Wala usijipe moyo Lowassa anashindwa uchaguzi huu bila mizengwe kutawala kwa kuwa huyo unayempigia debe hana jipya wala nyenzo ya kumuwezesha kuyatimiza anayoahidi wakati taasisi yake imeikataa katiba ya wananchi yenye maadili ya uongozi na ulinzi wa rasilimali za nchi.
 
ha ha haaa.....Magufuli amekuja vipi hapo? haujajibu hoja



Ni mwizi kama wezi wengine waliko CCM
Mkuu sawa ni mwizi nani siyo mwizi? Si ccm si ukawa wote ni dugu moja period. Tz bado ina safari ndefu sana ukombozi ni ndoto ni Neema YA Mungu tu!
 
Yani sisi ni kama LOWASA na LOWASA kama sisi hutaweza kutulazimisha tumchukie mtu ambaye hatuoni ubaya wake

Tatua mkataa mtu yoyote eti kwa sababu wewe una chuki zako binafsi
 
Umeshatuambia sana kuhusu Lowassa na ubaya wake,nadhani kiungwana imetosha zaidi ya hapo uanchofanya ni kutuvunjia heshima na kulazimisha Matakwa yako,acha watu waamue wenyewe!!!

Kwa maelezo yako naona na wewe either ni mganga au Mamajusi maana umeshatabiri kwamba Lowassa tutamwacha na kwamba tutajuata na kusema kwamba "tulipotoshwa"
UWE NA UHAKIKA,MIMI SIYO MMOJA WA WATAKAOJUTA KUMPIGIA KURA LOWASSA HATA KAMA HAKISHINDWA!!!
MARK MY WORDS,I WILL NEVER REGERET,I COULDNT CARE LESS,I will vote for EDWARD NGOYAI LOWASSA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…