Menyainganyi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2013
- 1,170
- 1,101
Hii ya Lowasa kukaa ikulu miaka mitano tu mnaitoa wapi? akiamua kukaa miaka kumi mtafanyaje? Na baada ya hapo mtandao wao wakiamua Rais anayefuata ni Rostam mtafanyaje? (Naamini mnajua jinsi nguvu ya mtandao wao inavyoweza kuwabadilisha mkaanza kumsafisha 'Rostam for 2025').
Ndugu...,
Watanzania sio wajinga hivyo..., hakuna namna Lowassa anaweza kuingia na kukaa Ikulu kwa nguvu zake bila kupigiwa kura .. Na wagombea wote wa uraisi wanagombea kupitia vyama vyao na kwa mujibu wa sheria za nchi.
Ikiwa Lowassa atapata uraisi, kitakacho mpa nafasi nyingine ya pili baada ya miaka yake 5 ya kwanza , ni UTENDAJI WAKE WA KAZI .., pamoja na chama/umoja wa vyama vilivyomuingiza madarakani ... Hawezi kupuuza kuara zilizompa DOLA...
Nchi hii ni ya vyama vingi, endapo EL na team yake watachukua Dola , upinzani (CCM) utakuwa macho kumkosoa na kuwajulisha wananchi ubaya wake na team yake katika kutawala...
Take it fro me, HAIPO NAFASI TENA KATIKA NCHI HII MTU KUONGOZA/KUTAWALA APENDAVYO katika wakati huu wa mabadiliko makubwa DUNIANI ya MAENDELEO YA MAWASILIANO . . .