TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
Siyo jambo la kujisifia; mnafikiri nchi za wenzenu zimejengwa na watu wenye kusoma mstari mmoja? Labda ndio maana mgombea fulani hazungumzi sana kwa sababu akizungumza sana anaweza akawapoteza watu bure...
mnafikiri tatizo la nchii hii ni louwasa la hasha tatizo langu mimi ni ccm itoke..
Sina haja ya kukupa sababu we angalia tu stage tuliuo kuwa nayo 1980 na sasa