Swali la Ugomvi: CCM ni kama nini?

Swali la Ugomvi: CCM ni kama nini?

liko kama mkuu wa mashetani hivi ! yakiwemo manyonya damu , masubiani pamoja na mipopobawa yote !
 
Ccm ni kama Mchwa. Wanatafuna kila nguzo ya nyumba yetu Tanzania mpaka itaanguka chini. Mwisho watatutafuna sisi wananchi kwa kuuza nchi bila kutuhamisha.
 
Mimi naifananisha ccm na fisi. Kwamba hata mzoga wa fisi wenzake anaweza kula huku akipiga makelele ya utamu wa mwenzake. Kwa ufupi ccm ni genge la wauza unga( Ritz, JKT, zungu, Nchimbi) wauaji wa wanyama pori na kuuza tembo na twiga(wakina kinana, mariamu kasembe ... majambazi na wauaji(mwigulu nchemba, mkuchika, wasira....) wezi wa kura(Makamba, Lusinde, Nape....) Waropokaji (Ana kinyago, mwakyembe, magufuli......). Kwa maana nyingine kiala aina ya wahalifu wapo ccm na ndiyo maana kinaitwa ni chama cha majambazi.
 
liko kama mkuu wa mashetani hivi ! yakiwemo manyonya damu , masubiani pamoja na mipopobawa yote !

Ccm ni km baba aliyembaka mwanaye hawezi kuaminika tena ila kwa vitisho. Ccm imetubaka watz mpaka basi! Nikikumbuka walivogawana ile mifeza ya epa na mwenyekiti akasamehe wale waliorudisha. Mm mpaka leo hatujui nani karudisha na karudisha kiasi gani na zimeenda wapi. Cha ajabu hata wabunge wetu hawaulizii. Je kuna sababu ya kuendelea kukiamini chama hiki!
 
Mimi naifananisha ccm na fisi. Kwamba hata mzoga wa fisi wenzake anaweza kula huku akipiga makelele ya utamu wa mwenzake. Kwa ufupi ccm ni genge la wauza unga( Ritz, JKT, zungu, Nchimbi) wauaji wa wanyama pori na kuuza tembo na twiga(wakina kinana, mariamu kasembe ... majambazi na wauaji(mwigulu nchemba, mkuchika, wasira....) wezi wa kura(Makamba, Lusinde, Nape....) Waropokaji (Ana kinyago, mwakyembe, magufuli......). Kwa maana nyingine kiala aina ya wahalifu wapo ccm na ndiyo maana kinaitwa ni chama cha majambazi.
Wewe ni mwehu tu km wehu wengine. Umepiga kiroba chako safi ukaona uje hapa utuachie harufu yako mbaya
 
Ccm ni kama Mchwa. Wanatafuna kila nguzo ya nyumba yetu Tanzania mpaka itaanguka chini. Mwisho watatutafuna sisi wananchi kwa kuuza nchi bila kutuhamisha.
Kiroba ndio kime comment hapa sio wewe
 
CCM nikama CHADEMA!.

Maneno meengi vitendo hakuna.

Ni mvinyo ule ule kwenye chupa tofauti! UTALEWA TU Mzee Mwanakijiji!
 
attachment.php

CCM ni chama cha wataalam wa ngono!!!!
 
Mkakati wa magamba na vitoto vyake maccm ni kuvamia threads haraka hili watu wakate tamaa na wasichangie.

1) CCM na ifananisha na maghaidi: hayana huruma hata kidogo: yenyewe kuua kwa njia yoyote ile ilimradi matakwa yao yatimie. Can you imagine mtu kurusha bomu ktk ya maelfu ya watu- vyombo vya dola visimpate mharifu?....can you imagine watu wamekufa kwa bomu magamba wabunge wanaendelea na shughuli za bunge na vijembe juu ya wafiwa! Hawa ni watu wanamna gani!

2) Ni sawa na ibilisi: waongo zaidi ya shetani...can you imagine mbunge gamba hana dhamira ya kumsuta anapitisha mswada ovyo na ndioooooo zisizo na maana ilimradi awemo na aslaumiwe na chama chake!

3) Interahamwe: kama hawajawa, watakua...my eyes will see 2015

4) Wachoyo na wabinafsi: 'ccm inawenywe'...

5) Ni vipofu na viziwi: hawa jamaa hawasikii na hawaoni kabisa: weee ona tu hata michango yao hapa jf....
 
Kutokana na kitendo cha kuendekeza rushwa kwa kila kinachotakiwa kifanywenao"NIMEYASHANGAA MATENDO YA KUGAWIWA KWA MAMILIONI YA TSH.KTK MAFUNZO YA KITENDAJI YA MAKATIBU WOTE WA WILAYA NA MIKOA,PESA INAYOSEMEKANA INASAMBAZWA NA WANACHAMA WANAOWANIA UKUU WANCHI" Mimi kwa sasa ccm naifananisha na mbwa mwitu wanaopata kitoweo lakini Mmoja wao akibaki na damu mdomoni wengine wanamrarua na kumfanya kitoweo pia.
 
Ccm ni kama jipu lililojaa usaha. January 2016 tutalitumbua usaha wote na kuutupa chooni.
 
Utter rubbish, that's how I've seen and judged CCM!
So, very politely I hereby wish to challenge Pasco and anyone to provide evidences to the contrary.
Mkuu Ron, what has Pasco got to do with CCM?!. You need evidence for what?!, tatizo ni wengi humu kutokubali kuupokea ukweli mchungu!, mimi siku zote nasimama na kweli!. Huwezi kuubishia ukweli unless na wewe unapenda kujifariji kwa kujifurahisha na wishful thinking but not reality.
Pasco.
 
CCM ni kama chakula kilichooza. Wenye njaa kali na utapiamlo hawataacha kula, hata wakiambiwa chakula kimeoza. Kwao, bora waharishe baada ya kula; lakini sio kutokula.
 
Back
Top Bottom