Swali la Ugomvi: CCM ni kama nini?

Swali la Ugomvi: CCM ni kama nini?

Kwa vile Tanu ndie baba wa CCM, na Tanu ndicho kilichotupatia ukombozi, then like father like son, CCM ni chama cha ukombozi wa Watanzania.

Wengine wetu kama sisi tunakifananisha na mkombozi, muokozi!.

NB. Huku kuendelea kueneza chuki dhidi ya CCM kwa njia ya kuivoke ridicules, its not gonna add up the votes come 2015!, CCM itarudishwa kwa sympathetic votes kuwa ilitukanwa sana!.

Pamoja na CCM kuwa ndie chama mwokozi wetu, bado hajaweza kutufikisha kwenye ile nchi ya ahadi!. Kufuatia hali hii, watu sasa wanaijengea chuki CCM na kuifanya ionekane kama ni li zimwi!. Kwa kuwa hakuna mwingine as of now aliyeonyesha uwezo wa kutufikisha, then 2015, kuna hatari ya kuendelea kulichagua hili hili li zimwi CCM maana ndilo likujualo!

Pasco.
Uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, tuliwapa, na uchaguzi wa leo wa serikali za mitaa, tunakwenda kuwapa tena!.
Twendeni tukapige kura!.
P
 
Kwa vile Tanu ndie baba wa CCM, na Tanu ndicho kilichotupatia ukombozi, then like father like son, CCM ni chama cha ukombozi wa Watanzania.

Wengine wetu kama sisi tunakifananisha na mkombozi, muokozi!.

NB. Huku kuendelea kueneza chuki dhidi ya CCM kwa njia ya kuivoke ridicules, its not gonna add up the votes come 2015!, CCM itarudishwa kwa sympathetic votes kuwa ilitukanwa sana!.

Pamoja na CCM kuwa ndie chama mwokozi wetu, bado hajaweza kutufikisha kwenye ile nchi ya ahadi!. Kufuatia hali hii, watu sasa wanaijengea chuki CCM na kuifanya ionekane kama ni li zimwi!. Kwa kuwa hakuna mwingine as of now aliyeonyesha uwezo wa kutufikisha, then 2015, kuna hatari ya kuendelea kulichagua hili hili li zimwi CCM maana ndilo likujualo!

Pasco.
Wewe Mzee unaandika vitu ambavyo Chama tawala wanapenda...
Mkuu Isanga family , karibu pande hizi, hivi ndio vitu ambavyo Chama kinapenda viandikwe?.
P
 
Back
Top Bottom