Swali la Ugomvi: CCM ni kama nini?

Swali la Ugomvi: CCM ni kama nini?

Hivi hakuna wana Ccm wanaoweza kuifananisha na kitu kizuri ukiondoa wawili hapa walioifananisha na mama au mkombozi. ?
 
CCM ni kama nyoka!!
3d_animals_-_Snake-wallpapers.jpg
 
...ccm ni septic tank(sewage) kila aina ya uchafu unajificha humo,mafisadi,majambazi,walevi+wauza madawa ya kulevya,malaya,majangili,wanafki,wazushi na katakataka nyinginezote na zaidi ni wakala wa shetani....
 
Mkuu Lukolo, pole for disappointment, kama ulivyonifahamu, ni tofauti na sasa, then ulidhani unanifahamu, nikimaanisha hunifahamu!.

Nakiri moja ya madhaifu yangu ni kuwa mkweli too much!. Nimeifananisha CCM na zimwi, ambayo baada ya miaka 50 bado haijaweza kutufikisha nchi ya` ahadi zaidi ya kuendelea kututafuna!.

Ukweli mchungu ni kuwa, kuelekea 2015, as of now, bado hakuna mbadala wa CCM!, japo Chadema angalau inaonyesha dalili, lakini bado!. Kwa vile uchaguzi mwingine ni 2015, ukweli mchungu ninausemea hapa, ambao ndio umeku disappoint ni hii fact kuwa japo CCM ni li zimwi, 2015 ni zimwi hili hili!.

Calling CCM names, gonna change nothing kwa matokeo ya 2015!. Tusiichukie CCM!, akitokea mbadala tuiondoe CCM kwa upendo kwa shangwe na mapambio na sio kuijengea chuki, ili tuiondoe kwa hasira, itaumia kwa kinyongo, na matokeo yake sio mazuri!.

Pasco.
Kwa vile Tanu ndie baba wa CCM, na Tanu ndicho kilichotupatia ukombozi, then like father like son, CCM ni chama cha ukombozi wa Watanzania.

Wengine wetu kama sisi tunakifananisha na mkombozi, muokozi!.

NB. Huku kuendelea kueneza chuki dhidi ya CCM kwa njia ya kuivoke ridicules, its not gonna add up the votes come 2015!, CCM itarudishwa kwa sympathetic votes kuwa ilitukanwa sana!.

Pamoja na CCM kuwa ndie chama mwokozi wetu, bado hajaweza kutufikisha kwenye ile nchi ya ahadi!. Kufuatia hali hii, watu sasa wanaijengea chuki CCM na kuifanya ionekane kama ni li zimwi!. Kwa kuwa hakuna mwingine as of now aliyeonyesha uwezo wa kutufikisha, then 2015, kuna hatari ya kuendelea kulichagua hili hili li zimwi CCM maana ndilo likujualo!

Pasco.
Nafanya tafakari tuu niliwahi kusema nini kumwambia nani na kulinganisha hiki kinachoendelea sasa ili kujua nini kitatokea ile October 25.

Pasco
 
Nafanya tafakari tuu niliwahi kusema nini kumwambia nani na kulinganisha hiki kinachoendelea sasa ili kujua nini kitatokea ile October 25.

Pasco

Pasco nitaanza kukusoma tena baada ya uchaguzi,kwa sasa najipa likizo kidogo!
 
Last edited by a moderator:
ccm ni kama simba kwenye pori la swala, ukiwa mtoto wa simba utanufaika tu na nyama, ila ukiwa swala ujiandae kuuawa na kuliwa wote.
 
ccm ni kama simba kwenye pori la swala, ukiwa mtoto wa simba utanufaika tu na nyama ya mawindo, ila ukiwa swala ujiandae kuuawa na kuliwa wote.
 
CCM IS LIKE AN IDENTITY eg TRIBE,,, YOU CAN NEVER RUN AWAY FROM IT, ITS THERE TO STAY.
CCM FOREVER
 
woodroffe_hood1.jpg

Chama cha Mapinduzi unaweza kukifananisha na vitu vingi sana; kwa uzuri na kwa ubaya. Kwa uzuri nitawaachia wengine waseme lakini miaka kadhaa nyuma niliwahi kuifananisha CCM na Buibui mwenye kutandaza utando wake kila mahali kiasi kwamba kila kiingiacho kwenye utandao huo kinanaswa kweli kweli na Buibui anaweza kuhisi mahali popote utando huo unapoguswa. Wakati mwingine buibui hali wadudu wote walioko kwenye utando wengine anawaweka kwa akiba na wengine anawatumia kuwa chambo kwa wengine. Ndivyo nilivyoiona CCM wakati huo.

Jana hata hivyo nimekuwa na wazo la kuifananisha CCM na kitu kingine kabisa. Ninaifananisha na yule mbwa mwitu wa kwenye simulizi za kale aliyejiingiza kwenye nyumba bibi kizee kumtafuna na kujifanya yeye ndiye bibi kizee yule akivaa miwani yake mikubwa (bado nakumbuka picha za kile kitabu! (Little Red Riding Hood). Mtoto yule alishangaa kuona bibi yake yuko tofauti mno na alivyomzoea akabakia kuuliza:

"Bibi mbona macho yako makubwa hivyo"
"Nipate kukuona vizuri mjukuu wangu" alijibu mbwamwitu yule!

Sijui wewe mwenzangu unaifananisha na nini CCM katika mawazo yako. Kwa uzuri au kwa ubaya!

Well... Mzee Mwanakijiji ni mtumishi mdogo sana wa "kitengo" na ukweli wa kweli yake bado unatafuta kweli halisi
 
Last edited by a moderator:
Ccm ni kama konyagi au pombe kali unainywa machozi yanatoka lakini bado umo tu hadi ukishituka ushaoza maini.
 
CCM ni Zaidi ya kundi la FISI....
 

Attachments

  • imagesA07CZGD2.jpg
    imagesA07CZGD2.jpg
    10.2 KB · Views: 110
  • images.jpg
    images.jpg
    10.9 KB · Views: 109
Back
Top Bottom