Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,097
- 43,309
- Thread starter
- #61
Hivi hakuna wana Ccm wanaoweza kuifananisha na kitu kizuri ukiondoa wawili hapa walioifananisha na mama au mkombozi. ?
Mkuu Lukolo, pole for disappointment, kama ulivyonifahamu, ni tofauti na sasa, then ulidhani unanifahamu, nikimaanisha hunifahamu!.
Nakiri moja ya madhaifu yangu ni kuwa mkweli too much!. Nimeifananisha CCM na zimwi, ambayo baada ya miaka 50 bado haijaweza kutufikisha nchi ya` ahadi zaidi ya kuendelea kututafuna!.
Ukweli mchungu ni kuwa, kuelekea 2015, as of now, bado hakuna mbadala wa CCM!, japo Chadema angalau inaonyesha dalili, lakini bado!. Kwa vile uchaguzi mwingine ni 2015, ukweli mchungu ninausemea hapa, ambao ndio umeku disappoint ni hii fact kuwa japo CCM ni li zimwi, 2015 ni zimwi hili hili!.
Calling CCM names, gonna change nothing kwa matokeo ya 2015!. Tusiichukie CCM!, akitokea mbadala tuiondoe CCM kwa upendo kwa shangwe na mapambio na sio kuijengea chuki, ili tuiondoe kwa hasira, itaumia kwa kinyongo, na matokeo yake sio mazuri!.
Pasco.
Nafanya tafakari tuu niliwahi kusema nini kumwambia nani na kulinganisha hiki kinachoendelea sasa ili kujua nini kitatokea ile October 25.Kwa vile Tanu ndie baba wa CCM, na Tanu ndicho kilichotupatia ukombozi, then like father like son, CCM ni chama cha ukombozi wa Watanzania.
Wengine wetu kama sisi tunakifananisha na mkombozi, muokozi!.
NB. Huku kuendelea kueneza chuki dhidi ya CCM kwa njia ya kuivoke ridicules, its not gonna add up the votes come 2015!, CCM itarudishwa kwa sympathetic votes kuwa ilitukanwa sana!.
Pamoja na CCM kuwa ndie chama mwokozi wetu, bado hajaweza kutufikisha kwenye ile nchi ya ahadi!. Kufuatia hali hii, watu sasa wanaijengea chuki CCM na kuifanya ionekane kama ni li zimwi!. Kwa kuwa hakuna mwingine as of now aliyeonyesha uwezo wa kutufikisha, then 2015, kuna hatari ya kuendelea kulichagua hili hili li zimwi CCM maana ndilo likujualo!
Pasco.
Nafanya tafakari tuu niliwahi kusema nini kumwambia nani na kulinganisha hiki kinachoendelea sasa ili kujua nini kitatokea ile October 25.
Pasco
sisiem mm nafananisha na govi umefika muda wa kuliondoa kwa sasa lina madhara mengi!
CCM ni kama nyoka!!
![]()
Chama cha Mapinduzi unaweza kukifananisha na vitu vingi sana; kwa uzuri na kwa ubaya. Kwa uzuri nitawaachia wengine waseme lakini miaka kadhaa nyuma niliwahi kuifananisha CCM na Buibui mwenye kutandaza utando wake kila mahali kiasi kwamba kila kiingiacho kwenye utandao huo kinanaswa kweli kweli na Buibui anaweza kuhisi mahali popote utando huo unapoguswa. Wakati mwingine buibui hali wadudu wote walioko kwenye utando wengine anawaweka kwa akiba na wengine anawatumia kuwa chambo kwa wengine. Ndivyo nilivyoiona CCM wakati huo.![]()
Jana hata hivyo nimekuwa na wazo la kuifananisha CCM na kitu kingine kabisa. Ninaifananisha na yule mbwa mwitu wa kwenye simulizi za kale aliyejiingiza kwenye nyumba bibi kizee kumtafuna na kujifanya yeye ndiye bibi kizee yule akivaa miwani yake mikubwa (bado nakumbuka picha za kile kitabu! (Little Red Riding Hood). Mtoto yule alishangaa kuona bibi yake yuko tofauti mno na alivyomzoea akabakia kuuliza:
"Bibi mbona macho yako makubwa hivyo"
"Nipate kukuona vizuri mjukuu wangu" alijibu mbwamwitu yule!
Sijui wewe mwenzangu unaifananisha na nini CCM katika mawazo yako. Kwa uzuri au kwa ubaya!
Hivi hakuna wana Ccm wanaoweza kuifananisha na kitu kizuri ukiondoa wawili hapa walioifananisha na mama au mkombozi. ?