Mkubwa, hakuna swali hapo!Swali tuliloletewa ni.
"Wewe ukiwa mwenyekiti wa UWT kwa kipindi cha miaka minne iliyopita hatujawahi kukuona ukisimama jukwaani kutetea Chama."
Swali kama hili ....
Wewe ndio mwehu kaoshe masaburi ukalale
Not that I care for any of these ...., Lakini Hilo ni Swali au Statementkumwuliza swali gumu Sofia Simba kama ifuatavyo:"Wewe ukiwa mwenyekiti wa UWT kwa kipindi cha miaka minne iliyopita hatujawahi kukuona ukisimama jukwaani kutetea Chama."
"Wewe ukiwa mwenyekiti wa UWT kwa kipindi cha miaka minne iliyopita hatujawahi kukuona ukisimama jukwaani kutetea Chama."
Jibu la Sofia Simba kwa swali la Shyrose lilikuwa jepesi kama ifuatavyo:"Inaonekana aliyeuliza swali hajakomaa katika siasa za nchi, ndio maana ameambulia kuzomewa na wajumbe wa mkutano huu. Habwatuki bungeni au majukwaani kwa vile yeye ni serikali, na hata mbunge wa CCM hapaswi kukikosoa chama chake. Mimi si mithili ya upinzania kukaa na kukiosoa chama napaswa kukitetea. Anayesema Sofia Simba hajafanya kitu anajidanganya kwani wapiga kura wako kwenye matawi, kata, wilaya na mikoa, hao ndio wapiga kura wa chama na mimi kama mwenyekiti wa UWT nilijiimarisha katika ngazi za chini."
Swali gumu..majibu mepesi.!
Kama kuna mtu amebebwa na mbeleko kuubwa na hajui kujishikilia ni SS,baada ya JK kubebwa na KK na wakati huo akiwa SS kama kimada wake aliezaa nae,kuanzia hapo JK analipa fadhila sana na hawezi kumuacha hata iweje!maana ni mzee wa fadhila na visasi!(+,-) zote anazo,mzee wa upepo...
huyu chotara nae si atafute mume amuoe.....anashundana na mapapa ? haya yangu masikio