KABAKA MITANO TENA MGOMBEA NAFASI YA MWENYEKITI UWT TAIFA
Wajumbe kwa kauli Moja wamekubaliana kumchagua kwa awamu nyingine (MITANO TENA) ndugu Gaudensia Kabaka ili kuendeleza Yale mazuri aliyoyaanzisha ili yaweze kukamilika na kuyasimamia yale yaliyokamilika. Kauli hiyo imekuja siku chache kabla ya kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa UWT Taifa.
"Kabaka ni Mchapakazi sana, amejitahidi kuunganisha Jumuia yetu Kuwa kitukimoja, Kusimamia miradi ya Jumuia kikamirifu pia amejitahidi kutengeneza Fursa nyingi kwa wanawake katika kujikwamua kiuchumi bila Shaka hatuna Mbambamba tunampa MITANO TENA"
____________________________
Mjumbe Mkutano Mkuu UWT ndugu. Zuhura Rashid.
Wajumbe kwa kauli Moja wamekubaliana kumchagua kwa awamu nyingine (MITANO TENA) ndugu Gaudensia Kabaka ili kuendeleza Yale mazuri aliyoyaanzisha ili yaweze kukamilika na kuyasimamia yale yaliyokamilika. Kauli hiyo imekuja siku chache kabla ya kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa UWT Taifa.
"Kabaka ni Mchapakazi sana, amejitahidi kuunganisha Jumuia yetu Kuwa kitukimoja, Kusimamia miradi ya Jumuia kikamirifu pia amejitahidi kutengeneza Fursa nyingi kwa wanawake katika kujikwamua kiuchumi bila Shaka hatuna Mbambamba tunampa MITANO TENA"
____________________________
Mjumbe Mkutano Mkuu UWT ndugu. Zuhura Rashid.