Swali la Shyrose kwa Sophia Simba lazua kasheshe katika Mkutano Mkuu UWT

saafi saana wajumbe, saafi saana mama SS . wajumbe wamekerwa na swali dhaifu lisilostahili kuulizwa kwa kifupi namna ile mfano angetoa ushahidi sehemu ambayo anaona chama kiliandamwa na mwenyekiti alikaa kimya lakini alivyouliza wakati watu wanataka hoja nzito hiyo ndo zawadi yake na salaam kwa waliombabatiza swali la kubebeshwa ghafla ghafla. ndiyo maana Bi SS alitumia nafasi hiyo kumuonyesha yy ni mkongwe ktk siasa na si mropokaji wa kutafuta sifa majukwaani mambo yote huyamaliza kwenye vikao stahili bravo mama mfunde mwana na wapenda sifa wote ndani ya chama
 
hebu soma majibu hapa chini uniambie yanaweza kuwa yamejibu swali gani
Huwezi kusoma jibu ukatoa hitimisho amejibu swali gani. Hakuna kitu kama hicho, soma swali, kujua ameuliza nini.

Assumption ya "alitaka kujua nini Sophia Simba amekifanya kutaka nafasi tena," haipo! Shyrose hajanukuliwa kuuliza hivyo.
 
Huwezi kusoma jibu ukatoa hitimisho amejibu swali gani. Hakuna kitu kama hicho. Soma swali, sio jibu, kujua ameuliza nini.

Assumption ya "alitaka kujua nini Sophia Simba amekifanya kutaka nafasi tena," haipo! Shyrose hajanukuliwa kuuliza hivyo.

Ni rahisi sana kuota makengeza ya haraka yanayoweza kuruka swali lililoulizwa, na kuona swali tunalofikiri, au tulilotaka liulizwe.

Inatakiwa discipline na juhudi kuondoa makengeza haya.

Kwa mujibu wa maandishi tuliyopewa hapa - naenda kwa kuamini kilicholetwa hapa kimeletwa accurately and "in good faith" maana sina zaidi- ni kwamba Shyrose kahoji kwa nini Sophia Simba haonekani majukwaani kutetea chama.

Wengine wanaweza kutaka kupenyeza hili katika moja ya "nini alofanya kutaka nafasi tena", lakini wachunguzi zaidi watataka kuliweka katika ufinyu wake hakika, kwamba si swala nene la "nini umefanya" zaidi ya ufinyu wake ambao hata si "nini umekifanyia chama" (maana unaweza kufanya kazi za chama kimyakimya nyuma ya majukwaa).

Swali tuliloletewa ni.

"Wewe ukiwa mwenyekiti wa UWT kwa kipindi cha miaka minne iliyopita hatujawahi kukuona ukisimama jukwaani kutetea Chama."

Swali kama hili alishawahi kuulizwa Malecela (kwake swali lilikuwa kwa nini hasikiki bungeni kutetea wananchi?), akajibu kwamba kusikika sana hakumaanishi kufanya kazi sana, na kufanya kazi sana hakuna maana ni lazima usikike sana. Kimsingi kwamba yeye alikuwa anakata deal behind the scene huko na wapiga kura wake ndo wanajua kazi yake.

Sasa Sophia Simba hata kutoa jibu gracious lenye some semblance of coherence kashindwa.

Ndo anataka kuwa mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa chama tawala huyu!
 
Ninafuraha kwa sababu sina mwelekeo wa siasa, na ninamuomba Mungu nisije kuwaza kuwa mwanasiasa mana majivuno, kebehi, dharau inaonekana lazima uwe navyo kwenye mkoba wako wenye documents za siasa
 
Wanasiasa wengi wa miaka hii hapa nchini kwetu, wana historia ya uhuni, ama bado ni wahuni, hayo ndio madhara yake.

Tanzania mtu akiwa mzinzi, alighushi vyeti, kutafuna mali za umma, mission town, etc etc hatuangalii wakati wa kuwateua au kuwachagua halafu tunategemea wash..nzi kama hawa watageuka wasafi na waadilifu pindi wakipewa madaraka makubwa yanayolinda na kuficha hizi tabia zao.
 
Ninafuraha kwa sababu sina mwelekeo wa siasa, na ninamuomba Mungu nisije kuwaza kuwa mwanasiasa mana majivuno, kebehi, dharau inaonekana lazima uwe navyo kwenye mkoba wako wenye documents za siasa

Usifurahi kwa kutokuwa na mwelekeo wa siasa, kwa sababu usipokuwa na mwelekeo wa siasa ujue unaburuzwa kila upande na kila mtu.

Na unapokunywa chai asubuhi tayari ushaingia katika siasa, kwa sababu bei ya majani ya chai na mkate ni sehemu ya siasa.

Kwa hiyo ni bora uache kujidanganya kwamba unaweza kuepuka siasa isikuhusu.
 
Huu ndio upumbavu wa watu wa nyinyiem, swali la shyrose ni la msingi sana!tatizo hawa watu wanapenda siasa za kusifiana tu, huu si wakati wa kusfiana ni lazima ukishangiliwa leo,kesho utazomewa tu! sofia simba ni ugolo!na kwa majibu yake! hakustahili hata kugombea hiyo nafasi hana sifa! kweli watu wa ccm mmechoka hamfai kuongoza!
 
hawa wote ni wafu...na tuwaache wafu wazikane wenyew....sijawahi kuona wala kusikia magamba yamefanya chaguzi kwa amani pasipo kuibiaana au kutwangana....wizi,majungu,matusi,ubabe ndo hulka yao..
 
...hilo swali lina tatizo gani?...hizo ndo athali za kupaka Carorait kwa muda mrefu badala ya kuichubua ngozi inachubua hadi akili ya mtumiaji...
 
Mkuu hata mimi sijaona ubaya wa swali. Nadhani hili la kuzomewa kwa Shyrose linaonyesha jinsi Sofiaai yojijengea.uwigo ndani ya UWT na wafuasi wake hawataki aguswe. Pili huenda hii inaashiria makundi humo UWT. Huenda Shy alikuwa kundi lingine na akawa anajulikana wazi kuwa hayupo kwa Simba na hivyo alvyouliza swali ikabdi wamzomee kumkata makali.

Ilibidi azomewe kwani alikuwa kundi la Anne Killango via LE MUTUZ LE baharia@ NY via NAPE vuvuzela @ magamba party!!
 
Huyu dada nae kila kukicha anashindwa kupima upepo coz upeo wake mdogo, sasa akiendelea hivi hata miaka miwili mingi. Anachotakiwa aache kuchukua maneno ya bongo flava na kuingia nayo kwenye duru za kisiasa. Awemakini, SILIVYO HATA UKUU WA WILAYA WANAO PEWAGWA MARA KWA MARA NA DHAIFU ATAUKOSA.

Wewe ndio mwehu kaoshe masaburi ukalale
 
Ilibidi azomewe kwani alikuwa kundi la Anne Killango via LE MUTUZ LE baharia@ NY via NAPE vuvuzela @ magamba party!!

Personal attacks, unaacha hoja unaenda kwenye viroja, argumentum ad hominem.
 
Shy Rose aliuliza swali zuri sana ila uelewa wa hao wajumbe na unatia shaka kama sio upambe.
 
Ndio sisiemu inayosema ina hazina ya viongozi wenye maadili na waliokomaa.swali dogo kama hilo limemshinda angepigwa jingine si angeanguka kwa presha.hii mijitu ya sisiemu punguani yote,mijimama ya kiswahili imepewa alfu ishirini basi imejiachia mwili mzima mpaka akili.staili ya hii mijitu mirahisi yenye kupewa alfukumi alafu inauza kura ni mbaya sana.kweli mabadiliko yapo mbali sana na wanaofanya yawe mbali ni watu kama shankupe sofia simba
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom