Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Naomba tu ufafanuzi kwenu wadau,
Nchi yetu leo ina miaka 50 ya uhuru lakini bajeti yake inategemea misaada na haiwezi kujiendesha bila misaada toka nje.
Angola wamepigana vita miaka ishiri leo wanatuzidi kwa utajiri
sie tunachojivunie ni eti tuna amani kuliko nchi nyingine.
Tuna kila kitu lakini bado tunaongoza kwa kutembeza bakuli.
Mie nadhani tanzania chini ya CCM ni sawa na mtoto ambaye hakui kwa mama yake unakuta jibaba zima lina miaka hamsini bado linakaa kwa mama yake na linadeka hadi hela za sigara linamtegemea mama
Nchi yetu leo ina miaka 50 ya uhuru lakini bajeti yake inategemea misaada na haiwezi kujiendesha bila misaada toka nje.
Angola wamepigana vita miaka ishiri leo wanatuzidi kwa utajiri
sie tunachojivunie ni eti tuna amani kuliko nchi nyingine.
Tuna kila kitu lakini bado tunaongoza kwa kutembeza bakuli.
Mie nadhani tanzania chini ya CCM ni sawa na mtoto ambaye hakui kwa mama yake unakuta jibaba zima lina miaka hamsini bado linakaa kwa mama yake na linadeka hadi hela za sigara linamtegemea mama