Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Wataalamu wa Tanzania waendelee kupanda majukwaani kuimba iyenaiyena rais ataleta wataalam wa Rwanda kufanya kazi.
Viwanda vya fitina.Viwanda vipi?
Hahaaaa, products za viwanda hivyo si zitatumaliza?Viwanda vya fitina.
Tabora ni kubwa kuliko uholanzi lkn hakuna kitu.Nchi ya Rwanda ni kama mkoa wa Pwani. Wao hata wakiamua kukusanya kodi manually wanaweza.
Tabora ni kubwa kuliko uholanzi lkn hakuna kitu.
Kwani matokeo ya products za hicho kiwanda cha fitna hujayaona kwenye mahafali ya Chaso Dodoma na Kilimanjaro?Hahaaaa, products za viwanda hivyo si zitatumaliza?
Mshauri anatoka Rwanda lazima warwanda wahusishwe.Kwahiyo sio lazima tukaige Rwanda, tulitakiwa kuwatumia wataalamu wetu kusuka mfumo utakaoendana na mahitaji na mazingira yetu.