CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Wacha weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, ndiyo Rwanda tunakwenda kuchukua kila kitu, shida iko wapi?Wacha weeh
Wacha weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, ndiyo Rwanda tunakwenda kuchukua kila kitu, shida iko wapi?Wacha weeh
Hahaha dah bongo zaid ya uijuavyo Kagame???Wacha weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, ndiyo Rwanda tunakwenda kuchukua kila kitu, shida iko wapi?
Rwanda ina kila kitu kuzidi hata Europe, USA
Rwanda mfumo wao wa mapato ni asycuda ambao sisi tuliwacha na kwenda tancis kwa maelezo kuwa ni mpana na unakidhi sehemu zote kwa maana unaweza kuunganisha na sehemu tofauti zenye lengo moja. Sasa sijui hao wataalamu wataturudisha kwenye mfumo tuliouacha kwamba haukidhi.
TUPA TUPA MZEE UNA CHEO GANI HUKO MAGAMBANI???Serikali ya Tanzania ya awamu ya tano,chini Rais Magufuli,inajipambanua kama Serikali ya viwanda. Ingawa bado hakujajengwa wala kuwa na matayarisho ya kiwanda chochote,'mahubiri' ya Serikali ni nchi ya viwanda.
Hivi juzi,Rais Magufuli amemuomba Rais Paul Kagame wa Rwanda wataalamu wa Teknolojia ya Mawasiliano ili kusuka mifumo ya ukusanyaji kodi wa TRA. Maombi hayo ya Rais yamejadiliwa,yamelalamikiwa na kusifiwa. Wataalamu wa Kinyarwanda watatua nchini muda wowote.
Kama wataalamu hao tu wanatoka Rwanda,wataalamu wa kujenga na kuendesha viwanda lukuki vitakavyojengwa nchini watatolewa wapi? Hivi,mfumo wa Rwanda wa IT aliutengeneza nani? Hivi,ni kweli Tanzania inazidiwa utaalamu na wataalamu wa IT na Rwanda?
Nchi ya viwanda,CCM mbele kwa mbele!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Balozi wa nyumba kumi na katibu kataTUPA TUPA MZEE UNA CHEO GANI HUKO MAGAMBANI???
Jamani si wataalamu watatoka Rwanda? Rwanda ina wataalamu wa kutosha kuigawia Tanzania. Hatuna haja ya ku-shop ulaya na marekani my dear!Acha kufananisha vitu vya maana na ujinga.
Unatoa mawazo yako au una quote alichoongea raisi?Nadhani kunakitu kinapotoshwa. Siamini serikali inaweza achia taifa lingine isuke mifumo yake ya kitechnologia kama hili la mfumo wa ukusanywaji kodi. Hapa itakuwa wataalam toka Rwanda watashare ujuzi, changamoto, mafanikio waliyopata wakati wanasuka mfumo wao. Kufanya hivi inalenga kusaidia wataalam wetu wasuke mfumo wetu kirahisi wakitumia experience ya experts wa Rwanda kuepuka makosa.
Hasa udiktetaRwanda ina kila kitu kuzidi hata Europe, USA
Jamani si wataalamu watatoka Rwanda? Rwanda ina wataalamu wa kutosha kuigawia Tanzania. Hatuna haja ya ku-shop ulaya na marekani my dear!