Swali kwa wataalam wa sheria za mitandaoni

hp4510

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,452
6,325
Kuna ndugu yangu amekopa ela kutoka kwenye hizi online company

Sasa deni lake limezidi Kwa siku mbili, sasa kilichotokea Leo Ile kampun imetuma sms kwenye namba zote ambazo zipo kwenye simu za mkopaji

Swali langu sasa hapa ni kwamba

1. Hiyo loan campan imepata wapi Ruhusa ya kuona mambo yote yanayofanyika kwenye simu ya mteja?

2. Simu zetu sio salama tena Kwa sababu kama mtu wa kampun anaweza kuacces call and everything kutoka kwenye simu ya mteja means hakuna privacy

3. Kama anataka kuchukua sheria anaanzia wapi kwa ushauri tu
 
Kuna ndugu yangu amekopa ela kutoka kwenye hizi online company

Sasa deni lake limezidi Kwa siku mbili, sasa kilichotokea Leo Ile kampun imetuma sms kwenye namba zote ambazo zipo kwenye simu za mkopaji

Swali langu sasa hapa ni kwamba

1. Hiyo loan campan imepata wapi Ruhusa ya kuona mambo yote yanayofanyika kwenye simu ya mteja?

2. Simu zetu sio salama tena Kwa sababu kama mtu wa kampun anaweza kuacces call and everything kutoka kwenye simu ya mteja means hakuna privacy

3. Kama anataka kuchukua sheria anaanzia wapi kwa ushauri tu
Pole sana .

Kwanza, dawa ya deni ni kulipa. Alikopa ili kufanyia mambo yake. Kisha anachelewa kulipa, huo si uungwana. Hiyo ni biashara, watu wanapaswa kurejeshewa hela yao.

Pili, unapaswa kusoma vigezo na masharti ya mkopo husika kabla ya kuuchukua. Kama kwenye vigezo vyao waliweka sharti la kutaka kuaccess taarifa zako basi hawajakosea. Kama waliweka kuwa watawasiliana na watu wako endapo utakataa kulipa, basi hawana shids kuingilia mfumo wako wa simu.

Sasa turudi kwenye swali lako la 1;
Bila shaka ulipakua programu (app) yao ya mkopo. Ukishaipakua ile app, inakuomba access ya kufikia baadhi ya taarifa zako ikiwemo messages, contacts, location, nk.

Kwa kuwa ulikuwa na njaa na unahitaji mkopo, basi wakapata access ya kuona taarifa hizo zikiwemo namba zote zilizokuwa saved.

Kama ungekataa kugrant permission basi pengine wasingekupa mkopo. Na badala yake wangekurudisha kuridhia programu yao ifikie contacts zako.

Swali la 2;
Kuna privacy na security. Sijui ulikusudia kumaanisha ipi. Ila mtu hawezi kufikia taarifa na mambo yako endapo hujamruhusu kufanya hivyo, hii ni kwa muktadha wa swala la mkopo.

Umekopa umepigiwa simu pengine na hutaki kulipa. Basi wanawakumbisha nduguzo wakushurutishe ulipe deni lao.

Simu yako ipo salama, endapo na wewe utaamua iwe salama. Simu yako inaingilika kirahisi endapo kwa shida zako utaamua kufanya mambo ya hovyo.

3. Sijui sera ya kampuni yao inasemaje. Sijui sera ya Benki Kuu kama msimamizi wa maswala ya Mikopo inasemaje, hivyo swala la kwenda mahakamani lina utata.

Kama tu swala la kushindwa kulipa mkopo wa mtandaoni ambao hauzidi laki moja ameshindwa, je gharama za wakili unazo? Achana na kusumbuka kipuuzi.

Lipa hela ya watu ishi kwa amani.
 
Terms and Conditions to be followed. Yeye akisaini vigezo na mashart kulikuwa nma hilo sharti la kutumwa ujumbe kwa namba hizo kama hatalipa?
 
Pole sana .

Kwanza, dawa ya deni ni kulipa. Alikopa ili kufanyia mambo yake. Kisha anachelewa kulipa, huo si uungwana. Hiyo ni biashara, watu wanapaswa kurejeshewa hela yao.

Pili, unapaswa kusoma vigezo na masharti ya mkopo husika kabla ya kuuchukua. Kama kwenye vigezo vyao waliweka sharti la kutaka kuaccess taarifa zako basi hawajakosea. Kama waliweka kuwa watawasiliana na watu wako endapo utakataa kulipa, basi hawana shids kuingilia mfumo wako wa simu.

Sasa turudi kwenye swali lako la 1;
Bila shaka ulipakua programu (app) yao ya mkopo. Ukishaipakua ile app, inakuomba access ya kufikia baadhi ya taarifa zako ikiwemo messages, contacts, location, nk.

Kwa kuwa ulikuwa na njaa na unahitaji mkopo, basi wakapata access ya kuona taarifa hizo zikiwemo namba zote zilizokuwa saved.

Kama ungekataa kugrant permission basi pengine wasingekupa mkopo. Na badala yake wangekurudisha kuridhia programu yao ifikie contacts zako.

Swali la 2;
Kuna privacy na security. Sijui ulikusudia kumaanisha ipi. Ila mtu hawezi kufikia taarifa na mambo yako endapo hujamruhusu kufanya hivyo, hii ni kwa muktadha wa swala la mkopo.

Umekopa umepigiwa simu pengine na hutaki kulipa. Basi wanawakumbisha nduguzo wakushurutishe ulipe deni lao.

Simu yako ipo salama, endapo na wewe utaamua iwe salama. Simu yako inaingilika kirahisi endapo kwa shida zako utaamua kufanya mambo ya hovyo.

3. Sijui sera ya kampuni yao inasemaje. Sijui sera ya Benki Kuu kama msimamizi wa maswala ya Mikopo inasemaje, hivyo swala la kwenda mahakamani lina utata.

Kama tu swala la kushindwa kulipa mkopo wa mtandaoni ambao hauzidi laki moja ameshindwa, je gharama za wakili unazo? Achana na kusumbuka kipuuzi.

Lipa hela ya watu ishi kwa amani.
Kulipa ni sawa lakini... Kwenye vigezo na masharti wanayotoa hakuna sehemu inayoonyesha kuwa wataanza kuwasiliana na watu wa mteja wao kiholela Tu na kumdhalilisha. Hii haipo sawa,kama mtu amekataa kulipa kwanini wasimkamate wampeleke mahakamani awalipe? Kupigia watu simu,kuwadai, na kuwatishia Kwa niaba ya mdaiwa hiyo haki wanaitoa wapi? HII HAIKUBALIKI HATA KIDOGO.
 
Back
Top Bottom