he he I 😍Dagaa fungu1, 300 na kitunguu cha mia nanunua dona nusu 300 naenda kununua kuni za mafungu za 300 na maji ya kandolo ya mia, ya kushushia msosi wetu.
Natandika jamvi namsubiri baba watoto aje tukamue nguna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaishi mkoa gani? usifuraishe jamviDagaa fungu1, 300 na kitunguu cha mia nanunua dona nusu 300 naenda kununua kuni za mafungu za 300 na maji ya kandolo ya mia, ya kushushia msosi wetu.
Natandika jamvi namsubiri baba watoto aje tukamue nguna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea vyema, hii inawezekana