Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,595
- 2,069
Hiyo ni ya dharura siyo ya kuandaa msosiMkuu kama kila kitu kipo ndani hauachi hata pesa kidogo dhalura.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni ya dharura siyo ya kuandaa msosiMkuu kama kila kitu kipo ndani hauachi hata pesa kidogo dhalura.
Labda anataka kila dharura apigiwe simu. (Hapa tunaongelea mama wa nyumbani).Mkuu kama kila kitu kipo ndani hauachi hata pesa kidogo dhalura.
Kuna viumbe wabishi mkuu kila kitu wanataka kubishinaLabda anataka kila dharura apigiwe simu. (Hapa tunaongelea mama wa nyumbani).
Sent using Jamii Forums mobile app
OK
Hahahahaha!!Mimi ni jinsia Me.
Mtoa mada umenikumbusha kwenye machimbo kipindi hicho pesa imekata, tulikuwa tunapika ugali, kabla haujaiva tunachukua yale maji(uji) ndio yanakuwa mboga, tunalia na ugali. Hicho chakula kinaitwa sisi kwa sisi.
Mimi ni jinsia Me.
Mtoa mada umenikumbusha kwenye machimbo kipindi hicho pesa imekata, tulikuwa tunapika ugali, kabla haujaiva tunachukua yale maji(uji) ndio yanakuwa mboga, tunalia na ugali. Hicho chakula kinaitwa sisi kwa sisi.
Huyu ni mke kabisa ..wadau changamkieni fursaDuh buku? Mchele robo kilo.. 500? ule wa bei rahisi..viazi mbatata viwili 200.. mafuta kikoroboi kidogo..kitunguu kimoja..
Pilau ya kuunguza kitunguu na kiazi humohumo.. tena inanukiaaa
Mkaa ulinunuliwa jana umebaki
Tena na chenji inabaki 500 Apo Safi san👍👍
Mnnnh.
Hupati hata mmoja.
Ka buku haka haka?
njoo mama tuanze maishaDagaa fungu1, 300 na kitunguu cha mia nanunua dona nusu 300 naenda kununua kuni za mafungu za 300 na maji ya kandolo ya mia, ya kushushia msosi wetu.
Natandika jamvi namsubiri baba watoto aje tukamue nguna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jina la chakula ni nomaMimi ni jinsia Me.
Mtoa mada umenikumbusha kwenye machimbo kipindi hicho pesa imekata, tulikuwa tunapika ugali, kabla haujaiva tunachukua yale maji(uji) ndio yanakuwa mboga, tunalia na ugali. Hicho chakula kinaitwa sisi kwa sisi.