WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Hahahaha hii imetokea Njombe hapo mke wa tajiri mmoja ilikuwa aibu jamaa alitengeneza akasafiri kuja Dar mke kama kawa kutoka nje na kismart boy si wakanasa hakuna mashine kutoka wakawa wameng'ang'aniana ilikuwa aibu walibebwa na ambulance mpaka Kibena lakini ilishindikana kuwaachanisha ilibidi wasubili jamaa arudi awatenganishe aibu WOS mambo yapo haya.
Kwa hiyo haya mambo yapo kikweli .Mi nilijua ni hadithi za mitaani tu.
Basi wale wenye wivu na wapenzi wao dawa ndo hiyoooo.Mshindwe wenyewe tu! hahahahah!