swali kwa wanawake II

swali kwa wanawake II

Unajua inabidi umwamini tu hivyo hivyo unajua ukimchunguza kuku au bata kwa makini tambua huwezi mula kabisaaa maana anaokota okota mauchafu kisha ala.

Ni kweli hata kama una hisia potofu inabidi ujaribu kuzizuia. Ila siyo siri,sijawahi kumwamini mwanaume kabisaaa yaani 100%. Imani inakwepo kutokana na vitendo na mwenendo mzima wa mapenzi,vinginevyo unaweza jutaaaa kumjua mtu!
 
Ni kweli hata kama una hisia potofu inabidi ujaribu kuzizuia. Ila siyo siri,sijawahi kumwamini mwanaume kabisaaa yaani 100%. Imani inakwepo kutokana na vitendo na mwenendo mzima wa mapenzi,vinginevyo unaweza jutaaaa kumjua mtu!

Mi nilikuwa na G/F anategea nimelewa usiku anaaanza kuperuzi kakimeo kangu nani alinipigia nani nilimpigia nakuanza kuchat nao usiku mbona nilimfire hayo si mapenzi ya kuviziana bora kuwa open....
 
Mi nilikuwa na G/F anategea nimelewa usiku anaaanza kuperuzi kakimeo kangu nani alinipigia nani nilimpigia nakuanza kuchat nao usiku mbona nilimfire hayo si mapenzi ya kuviziana bora kuwa open....

Tena mambo ya simu ndo balaa siku hizi,situation kama hizo hutokeana sana kwa watu ninaowafahamu. Huyo bibie hakutaka ujue anakupekua ndo mana alitaka iwe siri tena usiku.
Wanawake tupo insecured sana kimapenzi yaani kuamini kuwa ni wewe peke yako kwa mpenzi wako kwa muda mnaodate.
Lakini kupekua tu simu ndo ukamtosa?au ulikuwa unamtafutia sababu na hiyo ikawa ndo chance yenyewe? Kwasababu wanaume wengi kumwambia msichana its over ni ngumu ila akifanya kosa tu ndo inakuwa sababu ya kumuacha.
 
mbona me nipo kwenye ndoa miaka kadhaa na cjachunguliwa na mwanaume mwingine? inawezekana sana! mwanamke uwe na mcmamo kwenye maisha ,uijali ndoa/mpenzi wako, uone kwamba hakuna mwanaume/mwanamke mzuri/mtamu kuliko huyo ulienae, inawezekana kabisa, sio wanawake wote tunatoka nje ya ndoa/wapenzi wetu.
Kwa miaka hii niliyoshiba nimejifunza somo kuwa, ATOKAYE NJE YA NDOA, HASEMI.
 
ni kweli kabisa Nyamayao,mambo mengine ni hulka ya mtu!kwanza kama haumuamini mkeo au mpenzio achana nae na sio kumfikiria ndivyo sivyo!!
 
bonnie kuwa specific yupi mwanamke au mwanaume,nyamayao ana uhakika na anachokisema!
 
ni kweli kabisa Nyamayao,mambo mengine ni hulka ya mtu!kwanza kama haumuamini mkeo au mpenzio achana nae na sio kumfikiria ndivyo sivyo!!

Ukiwa wewe je utaacha wangapi?
Si watakuita mama huruma mtaani au jamvi la wageni ndo maana wasichana wengi huangukia kwenye hili wanakuwa akina mama huruma hapa nakanyaga pale anaruka duhh baadae anadondoka jumla tunamzika.
 
mimi nilishadanganywa na demu wangu toka kipindi hicho nimekuwa siwaamini kabisa wasichana..............na hii imenifanya niwe na wasichana kibao toka kipindi hicho kwani hata mchumba niliye nae sasa hivi simuamini kiasi hicho
 
Tena mambo ya simu ndo balaa siku hizi,situation kama hizo hutokeana sana kwa watu ninaowafahamu. Huyo bibie hakutaka ujue anakupekua ndo mana alitaka iwe siri tena usiku.
Wanawake tupo insecured sana kimapenzi yaani kuamini kuwa ni wewe peke yako kwa mpenzi wako kwa muda mnaodate.
Lakini kupekua tu simu ndo ukamtosa?au ulikuwa unamtafutia sababu na hiyo ikawa ndo chance yenyewe? Kwasababu wanaume wengi kumwambia msichana its over ni ngumu ila akifanya kosa tu ndo inakuwa sababu ya kumuacha.
Ni heri amemtosa huyo demu mpekuzi... leo kapekua simu... kesho angepekuwa kiwallet...

kwani anataka kufanya research, ama? au anafanya investigative journalism?
 
mimi nilishadanganywa na demu wangu toka kipindi hicho nimekuwa siwaamini kabisa wasichana..............na hii imenifanya niwe na wasichana kibao toka kipindi hicho kwani hata mchumba niliye nae sasa hivi simuamini kiasi hicho

kwa nini humuamini?????
 
Kweli Nyamayao nakuunga mkono kwa yote uliyosema. Ni kwamba mwanamke yeyote akiamua kujituliza anawaza kabisa bila kuwa na mtu mwingine nje ya ndoa hilo linawezekana kabisa.
 
Wanaume ndio wanaowashawishi wanawake kwa vijisenti vyao ili kutimiza tamaa zao,ikikutana na tamaa ya fedha ya mwanamke hutimia huo uzinzi.Mshindwe na mlegee.
 
sasa utaushindwaje moyo wako? ashindwe na alegee anayeshawishiwa bwana. mwanaume ndivyo alivyoumbwa. sasa kwa nini ulainike kwa vijisenti dadaangu? (sijui dada)
 
sema ukweli, belinda. si umeshawahi kubanjuka nje ya mahusiano yako? hakuna anayekuona, sema tu
 
Wewe itumie pale uipatapo. Uwapo nayo ni yako, ikikutupa mmgongo ni ya wengine. Hakuna ujanja.
 
Nenda kwa Sangoma ukamfunge luku mkeo jamaa wakitaka kumpata yanatokea maluelue sehemu za siri zinakuwa hazipo hakuna mjanja atakayeona ndani.
 
sema ukweli, belinda. si umeshawahi kubanjuka nje ya mahusiano yako? hakuna anayekuona, sema tu

Du! umenishtua,anyway siri yako mkuu 'sina uhakika kama nimewahi kubanjuka nje ya mahusiano yangu'...usimwambie mtu pls..

hope umenisoma mziwanda!
 
Ni heri amemtosa huyo demu mpekuzi... leo kapekua simu... kesho angepekuwa kiwallet...

kwani anataka kufanya research, ama? au anafanya investigative journalism?

Mkuu umeniacha hoi kwakweli,eti research ama investigative journalism..

Mimi nahisi ni internship kabisaa!..Ila somehow inakera kwakweli
 
Du! umenishtua,anyway siri yako mkuu 'sina uhakika kama nimewahi kubanjuka nje ya mahusiano yangu'...usimwambie mtu pls..

hope umenisoma mziwanda!

Ha ha ha enh!!! Binadamu hatuko perfect ati!!!! Huteleza hapa na pale katika maamuzi yetu mbali mbali na baadaye hujirudi. Siku hizi kuna hizi zinaitwa open marriage. Mimi anakuwa na njemba zake kwa nje na jamaa anakuwa na nyumba zake ndogo. Pia wanaweza kabisa kuwa wanafahamiana.

Wanaounga mkono hizi open marriage wanadai binadamu kama wanyama hatukuumbwa kuwa na mpenzi mmoja tu kwa miaka chungu nzima. Wanadai tunatakiwa tuexperience vionjo tofauti vilivyopo miongoni mwetu wanadamu na pia ni adhabu kubwa kuwa na mpenzi mmoja hata kwa miaka 3 achilia mbali miaka 35 au zaidi. Wanadai dini ndiyo ilileta haya mambo ya kupata vionjo mbali yaonekane kama dhambi na kama mnavyojua miaka ya karibuni wengi wameanza kuyapinga mafundisho ya dini wazi wazi tena bila woga. Mtazunguka butcher zote lakini nyama ni ile ile...Muulize aliyekula nyama ya kongwa kama nyama zote zina ladha ile ile 🙂
 
Back
Top Bottom