swali kwa wanawake II

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,770
2,544
katika hili napenda kupata ukweli wenye ukweli. watu (wanaume) wengine hatupendi kabisa kushea uchi (ashakum!) na wanaume wengine. wanaume tufanyeje ili wanawake wetu wasigawe "urithi" wetu? yaani ipite hata miaka mitatu, mke/mpenzi wangu hajachunguliwa na mwanaume mwingine ili nijisikie fahari ya kusema nina mke/mpenzi. najua zimeshatangulia threads nyingine zenye mrengo kama huu, ila sasa nataka kujua kwa kina zaidi. uwanja ni wenu wadau- hasa kina dada.
 
mimi ni kidume samahani kama nachezea uwanja siyo.
unajua sehemu ya kike ni kama sahani ya mama lishe ambapo ukilia msosi inaoshwa halafu anapakuliwa mwengine anakula and so forth, hivyo kuwa mpole kwa kuwa wanawake karibu wengi ni mama lishe na siyo malaya.
pili labda uamue kuifungia sahani kabatini uwe unailia peke yako pekee ambapo nayo ni ngumu. mwache mwanamke ajichunge mwenyewe ili awe mwaminifu wala usijitie sungusungu.
cha msingi peleka mapigo muafaka katika tendo atapagawa tu
 
katika hili napenda kupata ukweli wenye ukweli. watu (wanaume) wengine hatupendi kabisa kushea uchi (ashakum!) na wanaume wengine. wanaume tufanyeje ili wanawake wetu wasigawe "urithi" wetu? yaani ipite hata miaka mitatu, mke/mpenzi wangu hajachunguliwa na mwanaume mwingine ili nijisikie fahari ya kusema nina mke/mpenzi. najua zimeshatangulia threads nyingine zenye mrengo kama huu, ila sasa nataka kujua kwa kina zaidi. uwanja ni wenu wadau- hasa kina dada.

...hamna la kufanya hapo, hata ukiomba mungu kazi bure tu!
 
... mwache mwanamke ajichunge mwenyewe ili awe mwaminifu wala usijitie sungusungu.

...kabsa, kabsaaaaaaa babaaangu... 'Kunguru hafugiki eeh!'

cha msingi peleka mapigo muafaka katika tendo atapagawa tu

...aaaah wapiiii!!! wala usijidanganye ndugu yangu! hata ukijitia 'cherehani', kama kusaidiwa, utasaidiwa tu!
 
hivyo mwana, ishu ni kukubali matokeo sio? there is nothing u can do about it!
 
mbu unakata tamaa mapema sana. so u dont have to trust your woman. hivyo unamchukulia kama alivyo?
 
katika hili napenda kupata ukweli wenye ukweli. watu (wanaume) wengine hatupendi kabisa kushea uchi (ashakum!) na wanaume wengine. wanaume tufanyeje ili wanawake wetu wasigawe "urithi" wetu? yaani ipite hata miaka mitatu, mke/mpenzi wangu hajachunguliwa na mwanaume mwingine ili nijisikie fahari ya kusema nina mke/mpenzi. najua zimeshatangulia threads nyingine zenye mrengo kama huu, ila sasa nataka kujua kwa kina zaidi. uwanja ni wenu wadau- hasa kina dada.



mbona me nipo kwenye ndoa miaka kadhaa na cjachunguliwa na mwanaume mwingine? inawezekana sana! mwanamke uwe na mcmamo kwenye maisha ,uijali ndoa/mpenzi wako, uone kwamba hakuna mwanaume/mwanamke mzuri/mtamu kuliko huyo ulienae, inawezekana kabisa, sio wanawake wote tunatoka nje ya ndoa/wapenzi wetu.
 
...kabsa, kabsaaaaaaa babaaangu... 'Kunguru hafugiki eeh!'



...aaaah wapiiii!!! wala usijidanganye ndugu yangu! hata ukijitia 'cherehani', kama kusaidiwa, utasaidiwa tu!



mhh cjui niseme dharau, cjui nisemeje?, kwa hiyo wewe unaamini kabisa kwamba mkeo/mpenzio sio wako peke yako unasaidiwa na mtu fulani? shughuli pevu.
 
Me ni mwamamke

nadhani kutembea nje ya ndoa/mpenzio ni hulka ya mtu sio kwa wanawake wala wanaume. Wapo ambao wapo hivyo bila kuchokonolewa na mtu zaidi ya mmoja haoni rana nisawa na mtu mlafi ata awe ameshiba vibi akiona chakula udenda unamtoka
 
mbu unakata tamaa mapema sana. so u dont have to trust your woman. hivyo unamchukulia kama alivyo?

...Ebwana wee,

msema kweli kipenzi cha Mungu au sio? ...i went thru a Roller coaster full of heartbreaks maishani mwangu, kiasi kwamba roho yangu imejaa ukungu, masizi na madoa ya kudumu. Hata ugombane na mama mzazi, ndugu na marafiki zako juu yake, ipo siku atakuendea kinyume tu, na kukufanya uonekana kenge tu mbele ya familia na jamii inayokuzunguka.

Nimenawa mikono katika kuwapa trust yangu kina dada...

Imetosha.
 
...kabsa, kabsaaaaaaa babaaangu... 'Kunguru hafugiki eeh!'



...aaaah wapiiii!!! wala usijidanganye ndugu yangu! hata ukijitia 'cherehani', kama kusaidiwa, utasaidiwa tu!

.......................... Zi wapi trust zenu enyi waungwana? Kwa nini hutaki kuamini kuwa yeye ni wako wako peke yako? Mi mnanikera!!
 
...Ebwana wee,

msema kweli kipenzi cha Mungu au sio? ...i went thru a Roller coaster full of heartbreaks maishani mwangu, kiasi kwamba roho yangu imejaa ukungu, masizi na madoa ya kudumu. Hata ugombane na mama mzazi, ndugu na marafiki zako juu yake, ipo siku atakuendea kinyume tu, na kukufanya uonekana kenge tu mbele ya familia na jamii inayokuzunguka.

Nimenawa mikono katika kuwapa trust yangu kina dada...

Imetosha.

..... Kumbe ndo maana. Pole kaka yangu hata sie pia tumepitia huko ulikopitia wewe tena wengine in a very rough road but tunajifunza kutrust again with caution though lakini si kukata tamaa kabisa kwa sababu doing that utakuwa unamwadhibu tu kwa kosa alilofanya au walilofanya wengine.

We take the package as it comes without putting an old cloth on it and we treat a new wine in a new glass and not an old one kaka.
 
mwanajamii nimekupata ila unasema ni trust tu. kucheat bado kupo sio? ww kama mwanamke ni kitu gani kinakufanya utoke nje ya mahusiano yako?? (ila si wewe)
 
Inawezekana, muonyeshe kwamba ni yeye tu na hakuna mwingine- msimamo wako ni muhimu, sio akuone au ahisi una mihangaiko mingine. Itategemea pia na mke / Girl-friend ni waina gani, ila kwa msichana /mwanamke wa kawaida ukimwonyesha msimamo hawezi kuhangaika kwingine, atafute nini tena?
Hakikisha pia unamridhishwa kihaswa mamaa, sio mambo ya kulipua kulipua. Wapenzi wengi hawahi free kusema mimi napenda hivi,au vie, muulize anapenda vipi n.k Wanawake sio kama wanaumme , tunahitaji mda , kitu ambacho wanaumme wengi hawajui. Otherwise sioni sababu ya kuhangaika, maana kama huyo wa nje ananipenda zaidi mbona hakuniowa au kunichukua kama official girl-friend wake
 
mwanajamii nimekupata ila unasema ni trust tu. kucheat bado kupo sio? ww kama mwanamke ni kitu gani kinakufanya utoke nje ya mahusiano yako?? (ila si wewe)

Mziwanda ni kweli TRUST is the most important thing- next to faithfulness-in any relationship. Nimeposema trust simaanishi kuwa hata mtu akiwa cheater basi umtrust hapana nazungumzia kwa wale ambao hawajawahi kufumaniana au hata kuhisi kuwa anaibiwa just trust kuwa uko peke yako kwa sababu unaweza ukawa unamshuku mtu kila siku kumbe masikini ya mungu wala yeye kwako kafika. Mimi my bf ndo yuko hivyo yaani kila siku yeye ananiona mie namegwa no matter how much I do to make him believe that am all his but bado siaminiki ndo mana nawasihi trust pelase.

Mimi kama mwanamke kitu kitachonifanya nitoke nje ya mahusiano yangu kwa kweli sikioni as I dont believe in double standars!.
 
..... Kumbe ndo maana. Pole kaka yangu hata sie pia tumepitia huko ulikopitia wewe tena wengine in a very rough road but tunajifunza kutrust again with caution though lakini si kukata tamaa kabisa kwa sababu doing that utakuwa unamwadhibu tu kwa kosa alilofanya au walilofanya wengine.

We take the package as it comes without putting an old cloth on it and we treat a new wine in a new glass and not an old one kaka.

...scenario zinatofautiana kiasi kwamba hata huo mvinyo unageuka siki hata kama unaunywea kwenye bilauri mpya.

[FONT="Palatino Linotype" size"2"]
kipindi cha mwaka mmoja cha uchumba, fiancee (kwa kisingizio cha long distance) alishajirusha na njemba mbili unazofahamiana nazo, na huko akapata ectopic pregnancy, na kama hiyo haitoshi mrija wa pili nao uliondolewa baada ya kuziba! ...Kwa maana hiyo hata matarajio ya kupata mtoto ni sifuri! unless kwa gharama za IVF.
[/FONT][/size]

...baada ya ndoa na kufungua "package", unagundua kumbe umeuziwa punda kwenye mfuko wa karatasi! Unakuja baini ukweli wa maneno ulokuwa unapinga na kugombana na ndugu, jamaa na marafiki walokuwa wanatoa maonyo, 'mchumba hafai huyo!'... kwakuwa nilimuamini kwa 101%!

Inauma, inaudhi, na inasikitisha.
 
mbona me nipo kwenye ndoa miaka kadhaa na cjachunguliwa na mwanaume mwingine? inawezekana sana! mwanamke uwe na mcmamo kwenye maisha ,uijali ndoa/mpenzi wako, uone kwamba hakuna mwanaume/mwanamke mzuri/mtamu kuliko huyo ulienae, inawezekana kabisa, sio wanawake wote tunatoka nje ya ndoa/wapenzi wetu.

Nyamayao Nyamayao unaongea ukweli lakini?Namwachia Mungu.
Mi nina software ya kupima kama umetoka nje.
 
...Ebwana wee,

msema kweli kipenzi cha Mungu au sio? ...i went thru a Roller coaster full of heartbreaks maishani mwangu, kiasi kwamba roho yangu imejaa ukungu, masizi na madoa ya kudumu. Hata ugombane na mama mzazi, ndugu na marafiki zako juu yake, ipo siku atakuendea kinyume tu, na kukufanya uonekana kenge tu mbele ya familia na jamii inayokuzunguka.

Nimenawa mikono katika kuwapa trust yangu kina dada...

Imetosha.

Pole sana kwa hili,usipoumia kwenye mapenzi hujapenda kwahiyo lazima upitie vitu kama hivi japo maumivu yanatofautiana kati ya watu na watu!
Kumwamini binadamu mwenzangu tena kwenye mapenzi ni ngumu sana,ila tu inabidi uwe na imani japo kidogo angalau kutowaza mpenzi anacheat nje ya penzi lenu.
 
Pole sana kwa hili,usipoumia kwenye mapenzi hujapenda kwahiyo lazima upitie vitu kama hivi japo maumivu yanatofautiana kati ya watu na watu!
Kumwamini binadamu mwenzangu tena kwenye mapenzi ni ngumu sana,ila tu inabidi uwe na imani japo kidogo angalau kutowaza mpenzi anacheat nje ya penzi lenu.


Unajua inabidi umwamini tu hivyo hivyo unajua ukimchunguza kuku au bata kwa makini tambua huwezi mula kabisaaa maana anaokota okota mauchafu kisha ala.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom