Safari njemaa..!
Asa utajuaje kama anakuridhisha?Ndoa bila shaka...
Ukimpenda si ndio umesharidhika naee?au...Asa utajuaje kama anakuridhisha?
Na mm namjibu tu "No money before marriage"N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..
Pesa anazo kama zote...yaani hilo sio tatizo kwake hata nukta..Na mm namjibu tu "No money before marriage"
Vip mkuu hebu nipe msaada hao wanaosemaga bila ndoa wapo vipi?kwa sababu mimi huwa najiheshimu kwa kiasi flani hivi lakini nawaona mademu wanaleta shobo wanataka ndoa,ooh sijui naenda kuwatolea mahari nk.Hapa nikajua kuwa mtu ukiwa mstaarabu kidogo unaweza kumchukua hadi malaya nyumbanitrust me, pale mlipoambiwa ishi nao kwa akili ndo hapa sasa...alafu hawa watu huwa wanasema vityu kinyume nyume...ukisikia bila ndoa ujue mapema haina shida....
Kingine apoo anakuwa anakutrick tyuu ...wadau wa kenya wanaita triiiick saaana....kuna vityu unavikuta ukiwa umeshaingia ndo kama icho tukumbuke msingi mkubwa wa mahusiano ni kuhusiana ...
Muhimu usiwe na pupa mazuri yako mbeleni ...mpeleke dinner, aje geto mara kadhaa, mpeleke outing za mikoani mkipata nafasi, mpe vizawadi, nenda nae movie kule kwenye giza mbaka jiran yako usimuone wakati yupo zero distance ..minakwambie ukiambulia patupu utakuwa huna bahati kweli...akichomoka kotee ukooo duu uyoo oa sasa
MmhhSasa pesa lazimaa...utakulaa maweee
Siyoooo
Mkuu naona wewe hapa hauleti hoja unaleta mfumo dume tu kwamba sijui wanawake tusishindane na wanaume okay ngoja nikuulize swali kwanini iwe ni mwanamke asiyejitunza tu ndo awe ni mikosi kwa mumewe na kwanini siyo mwanaume asiyejitunza naye awe ni mikosi kwa mkewe tuanzie hapo kwanza?Hakuna anayekulaumu kwa kutoa bikra yako. Yalikuwa mapenzi yako mwenyewe wala hukulazimishwa.
Ila jua kuwa mwanamke asiye na bikra hata awe mzuri kiasi gani. Hata awe na mali kiasi gani. Hata awe na cheo gani bado atabaki kuwa Mkosi na laana kwa atakaye muoa.
Wewe unataka mwanaume anayejitunza. Utajuaje kama anajitunza au hajitunzi ikiwa hana alama.
Yaani vijana wa siku hizi hata bikra ya akili ilishatolewa na kuharibiwa. Uwezo wa kufikiri ni mdogo sana.
Mkuu huyu nilichogundua kichwani kwake hawazi chochote zaidi ya mfumo dume tu yaani badala ya kuja na hoja anakuja na itikadi zake za sijui mwanaume ni mtumiaji na mwanamke ni mtumiwaji something which is not logical wanaume wa hivi wanaishiaga kupata wanawake mazwanzwa tuUkikua utaacha...
Na huu msimamo wake ni upuuzi ambao kuna mjinga mwenzie kamjazaa huo ujingaa... So unampuuza tu balehee ikiisha ataacha ujingaa huuMkuu huyu nilichogundua kichwani kwake hawazi chochote zaidi ya mfumo dume tu yaani badala ya kuja na hoja anakuja na itikadi zake za sijui mwanaume ni mtumiaji na mwanamke ni mtumiwaji something which is not logical wanaume wa hivi wanaishiaga kupata wanawake mazwanzwa tu
Yaani wale wa kila kitu "ndiyo mume wangu" hata mume akisema anataka afanye biashara ya madawa ya kulevya mke atakubali tu hawezi kumshauri mumewe kuhusu maendeleo yoyote maana hawezi kumpinga mumewe sababu akimpinga mumewe ataambiwa yeye ni mjeuri yaani in short this guy seems to be so conservative
Duuh aiseee unaonekana una vitu vyako kichwani ambavyo inahitaji mtu special ndo aweze kuvitibu na unaonekana hauna exposure wala knowledge yoyote kuhusu ndoa za watu tatizo lako unakariri sana maisha ndugu yangu mimi nina mifano hai ya wanawake walioolewa na bikira zao na sasa hivi ndo pasua vichwa na ndo wanawasaliti waume zaoMkuu hili swala ni zaidi ya ulijuavyo. Utaweza kusema binti fulani anaakili ikiwa alishindwa kutumia akili akadanganywa na mtu asiyemuoaji mpaka bikra ikatolewa.
Ikiwa alishindwa kulinda bikra yake ataweza kweli kulinda mapenzi yenu.
Ni bora mwanamke mjinga lakini muaminifu, Msafi, Mwenye kujua thamani yake kuliko jianamke Linaloonekana linaakili lakini sio mwaminifu, Mchafu kama mbwa, Asiyejua thamani ya mwili wake.
Hao ndio mnawataka siku hizi lakini cha moto mnakipata.
Akili zake hazitakusaidia kitu ikiwa hakuwa mwaminifu.
Alafu mwanaume halisi hawezi tegemea akili za mwanamke hata kwa utani. Sijui vijana wa siku hizi mmelishwa nini. khaaah
Na huu msimamo wake ni upuuzi ambao kuna mjinga mwenzie kamjazaa huo ujingaa... So unampuuza tu balehee ikiisha ataacha ujingaa huu
πππHapo lazima mume mtarajiwa awekwe wazi kwamba hamna utepe.
Akiridhika na hali sawa asiporidhikaa basi aende.
Lakini mnakosea sana kuwaamini wanaume ambao bado sio waume zenu
Siyoooo
Mkuu naona wewe hapa hauleti hoja unaleta mfumo dume tu kwamba sijui wanawake tusishindane na wanaume okay ngoja nikuulize swali kwanini iwe ni mwanamke asiyejitunza tu ndo awe ni mikosi kwa mumewe na kwanini siyo mwanaume asiyejitunza naye awe ni mikosi kwa mkewe tuanzie hapo kwanza?
Halafu mimi kusema ajitunze siyo kwamba nataka ushahidi wa alama bali nafsi yake imshuhudie mwenyewe kwamba hajawahi kufanya mapenzi na mwanamke maana hata ukisema eti sisi wanawake ndo tuna alama kumbuka kwamba kuna exceptions
Maana kuna wanawake ambao wakiwa wanatolewa usichana wao hawatokwi na damu na kwa taarifa yako kuna wale ambao wana bikira feki na ukiziangalia zipo kama original kwahiyo hapo ishu siyo alama ishu ni ukweli ndani ya moyo wa mtu ndo maana nasema siku hizi kupata mwanamke anayejitunza ni ngumu
Sababu wanaume wanaojitunza nao hawapo wote mnataka sex before marriage na msipopewa mnawaacha watoto wa watu na hauwezi kutulaumu wanawake eti kwanini tukitongozwa tunakubali badala ya kujilaumu wenyewe kwanini mnatutongoza kwahiyo hapo jiulize kati ya mimi na wewe nani katolewa hadi bikira ya ubongo
Nijibu hili swali moja tu na mwanaume ambaye hajajitunza naye tumuweke kwenye kundi gani? Kama hauna hoja lazima ukiambiwa ukweli useme ni povu nijibu hilo swali hapoMkuu wee endelea kutoa povu hapo lakini huwezi shindana na ukweli kuwa Mwanamke asiyebikra ni zaidi ya mikosi.
Lakini kwa vile ninyi ni kizazi cha zinaa wala hamuwezi kutambua jambo hilo.
Bila bikra kwa Falme za kiroho wewe ni mkosi na Laana tuu. Subiri wenye laana wenzako waje
Duuh aiseee unaonekana una vitu vyako kichwani ambavyo inahitaji mtu special ndo aweze kuvitibu na unaonekana hauna exposure wala knowledge yoyote kuhusu ndoa za watu tatizo lako unakariri sana maisha ndugu yangu mimi nina mifano hai ya wanawake walioolewa na bikira zao na sasa hivi ndo pasua vichwa na ndo wanawasaliti waume zao
Vile vile kuna wanawake walioolewa hawana bikira na sasa hivi wanafaidi ndoa na waume zao kwahiyo hayo mawazo yako hayana utafiti wowote zaidi ya kuonekana unaandika kwa mihemko hasi juu ya wanawake wasio mabikira sijui walikufanya nini but all I can tell you is that get out of that fantasy world of yours and think out of the box
Naam mother ni hiyana na udanganyifu mkubwa sana kumficha mchumba ukweli kuhusu bikira.