Swali kwa wanaume na wanawake

Swali kwa wanaume na wanawake

ww binti unataka kila mtu ajue mm n kibamia au mandingo?
Hilo tutatafutana tu tena sio kwa kuambiwa ila kwa kuona 😀

aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mgiriki unaogopa nini? ?
 
Last edited by a moderator:
Umsaidie badi angalau siku mbili mbili kama kweli unamuonea huruma

mhmh hapo ndio unafanya nimwonee huruma zaidi mana atampoteza kabisa na kumsikia tu kwa majirani!
 
Wanawake Bhana Raha Wanapata Wenyewe Halafu Wanaikimbia Ngoja Aporwe Na Wanawake Wenzie Wanaoujua Kunogeshwa Utamu
 
Baada ya mda si mrefu atakuambia jamaa hawezi tena vizuri kwa kuwa madawa anayokunywa yatakuwa yameisha nguvu na hataweza tena bila kupata hizo dawa anazokunywa. Atabwebwea mpaka utamwonea huruma
 
mhmh hapo ndio unafanya nimwonee huruma zaidi mana atampoteza kabisa na kumsikia tu kwa majirani!

Kumbe humuonei huruma Bali unamuonea wivu

Huyo mtu ni mimi na Huyu rafiki yako nitampiga chini kwa nini akwambie na wewe uje kunitangaza humu
 
Nimegundua JF wakipewa nafasi ya ubunge wanaweza 80%ya mada za humu watu wanawakilisha mara rafiki mara nani jamani kama limekukuta jambo weka wazi au tunachukua kozi ya ubunge?
 
Back
Top Bottom