King Mutesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 227
- 141
Tatizo wanawake siku hizi wavivu sana!
too much is harmful ujue hata kama ni kipaji toka moyoni ni hatari sanaa!
Wanawake watu waajabu sana... Ukipiga goli moja malalamiko, ukikaza malalamiko, ukiwa na kibamia malalamiko, ukiwana mguu wea mtoto hamuachi kulalamika.... Yaana hata hamueleweki ni kipi mnataka.
Lakn hapo mkuu mahondaw mm naona umeamua kujificha kwenye kivuli cha rafk yako lakn ww naona ndio mhusika...
Hapo mkuu fungua moyo tu haina haja ya kulalamika ukianza kulalama sana jamaa lazma atakutafutia msaada.. Kama wewe unachoka wenzio wanahitaji hata lisaa lizma..
Thubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! mimi tungepambana aseee sikubali kushindwa kirahisi rahisi tu..
mkuu we tazama vizuri tu kwa kuzingatia kama wewe ni lenzi mbinuko au mbonyeo!
Thubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! mimi tungepambana aseee sikubali kushindwa kirahisi rahisi tu..
Nikuone huruma tena wakati unapata utamu?safi wakati shoga analalamika jamani weeeweee huna hata huruma eeee? ?