Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,021
- 177,335
Haaaahaaaaa! Mwambie ashukuru Mungu huyo shoga yako, wenzie wanalilia hiyo kitu, maana wanalala na wanaume kama kaka zao! Kila mzee akijaribu wapi majogoo hayawiki! Huyo mzee wake yuko fiti! Ndio ndoa hiyooo.
Kweli wewe una matatizo, kumbe umekuja kunisemea huku. Jiandae kwa makofi"Jamani jamani jamani mwenzenu uwiiiiii!!!! balaa tupu huku..
Naomba kujua ni nini husababisha au kuna tatizo gani labda..
Ni hivi mlamu wenu ana hali flani ambayo inanitisha kwakweli. Yani dudu yake nahisi muda wote inakua imesimama dede maana nikimsogelea au akiniona tu hata kama tumetoka kufanyana muda huo huo mlingoti huuoooo!
Pia pindi tunapokua tunafanyana anaweza pizi lakini asiichomoe mashine pangoni kama dakika kadhaa hivi ...haaaaa haipiti mda mrefu nashangaa gemu linaanzishwa tena na tena na tena mpaka mimi niseme basi nimechoooka labda na akiichomoa hapo dudu linakua limesimama as usual but analazimika kuliweka lipumzike hivo hivo au mpaka akae muda flani hivi kulituliza.
Pamoja na hayo yoooote huwa anaenda mda mrefu sana yani mpaka naishiwa pozi na kuomba poo.
Je nini husababisha hali hiyo????????? Maana inatishia usalama kabisaaaaaaaa!!!!!!"
Hayo ni maneno ambayo shogangu mmoja alikua akilalamika na kuomba ushauri na kuswalika maswali pindi tunazogoa but mimi sikuwa na majibu exactly ndomana Mahondaw nkaleta kwenu. Ila kama ni dawa mtatuua aseeeee!
Nawasilisha kwa niaba.
hahahaaa!!!.... Ningependa nione hayo mapambano yako kama nikweli teh teh!
Tatizo wanawake siku hizi wavivu sana!
Sasa besdti wako yupo humu?
Dawa ni kuomba aongezwe mwanake mwingine
kuwe na shift....ikiwa sio shift yake anapumzika
Uzoefu wangu unaniambia....
Wadada strong kwenye mazungumzo na wenye uwezo mkubwa wa kujisimamia, huwa laini sana kwa wanaume zao, na niwavumilivu sana ndani ya ndoa ikiwemo na makatiko.
Wadada wagumu, wanao ogopwa na kuheshimika kwake jamii inayo wazungunka, ni wavumilivu na wanyenyekevu sana kwa ndoa au mahusiano yao.
Huthamini sana wenzi wao naaaa........
Makofi yenyewemakofi yapi hayo???? kofi olomide, kofi annan au kofi zetu zilee za kwenye mananilihiu??