King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Hehehe, saa hiyo wewe mkaka akikusifia dada wewe mrembo, unaitika asante huku umenyoosha shingo kama kuku kishingo. Ati mke wa mtu lol. Kenyua meno, appreciate sifa mwaya weeh, maisha mafupi haya. Jitoe fahamu ujienjoy ila usivunje amri za Mungu tu,lol
wengine kushukuru hawawezu hata kusifia jamani,lakin we wa nje wanawasifiajeeee?