Swali kwa wanaume hasa walio kwenye ndoa...

Hehehe, saa hiyo wewe mkaka akikusifia dada wewe mrembo, unaitika asante huku umenyoosha shingo kama kuku kishingo. Ati mke wa mtu lol. Kenyua meno, appreciate sifa mwaya weeh, maisha mafupi haya. Jitoe fahamu ujienjoy ila usivunje amri za Mungu tu,lol

wengine kushukuru hawawezu hata kusifia jamani,lakin we wa nje wanawasifiajeeee?
 
Ni wanaume wachache sana wana appreciate kwa jambo lolote unalowatendea mimi nikimtendea mume wangu jambo lolote hushukuru .

Mshukuru Mungu nakwambia, wengine hawajui kushukuru wala hawajui kusifia, wapo tu, kauli nayo ni tatizo basi lol.. tafrani.
 
kuna dalili kubwa wanaume watakwepa uzi huu....

wapi Dark City wapi Mtambuzi Asprin Nyani Ngabu The Boss Baba V BAK na wengineo? ingependeza tukapata mtazamo wenu...

Duh, hako katabia nilikaanza bila kujua....
Siku moja baada ya kufanyiana mizaha na Mama Nginaa. Mie na mama Ngina huwa tunafanyiana mizaha na mara nyingi niwapo nyumbani ni kutaniana kwa kwenda mbele bila kukwazana lakini. Basi akatulia na kuniuliza kwa nini nikiwa ofisini akinipigia kuna wakati naongea kwa ukali?

Lile swali lilipenywa masikioni mwangu kama msumari wa moto, sikujua kama huwa naongea kwa ukali, lakini baada ya kuvuta kumbukumbu nikakumbuka kwamba ni kweli ninapokuwa nimetingwa huwa naongea kwa ukali..

Wanawake ni viumbe wa kutaka kusikilizwa, na si wanaume wote wanaolijua hilo, na hata kama wapo wanaojua, lakini kuna kujisahau na hiyo inatokana na ile dhana kwamba wanawake wametoka sayari ya Venus na wanaume wametoka sayari ya Mars, ni vitu viwili tofauti, kwa hiyo kinachotakiwa ni kuishi kwenye urazini (awareness) kujua kila kinachoingia na kutoka ndani yako, la sivyo utajikuta unagombana na mwenzi wako kila mara.

Hebu fikiria uko kazini, halafu uko bize au mkoloni wako kakubana mbaya, mara unapokea simu kutoka kwa wife, unaipokea kwa shauku kujua kuna nini tena, lakini anaishia kuuliza iwapo utapenda akipika chakula cha aina fulani au atakwambia kuwa leo mtoto ameanza kutambaa, au anaweza kukuomba upitie supermarket kununua kitu fulani kwa kuwa yeye amesahau... C' mon, yaani hiyo ndo sababu ya kupiga simu kweli? kwa nini asini text... (mwanaume anaweza kujiuliza). Na hapo ndipo lugha zinakuwa gongana

Kuna haja ya kujirekebisha, mimi nimejitahidi sana siku hizi na nikiona simu ya wife na siko kwa mood, namuomba nimpigie baadae kisha naweka alam ili inikumbushe na alam ikiita nampigia nikiwa na niko positive zaidi.

Hilo tatizo lipo.
 
Hehehe, saa hiyo wewe mkaka akikusifia dada wewe mrembo, unaitika asante huku umenyoosha shingo kama kuku kishingo. Ati mke wa mtu lol. Kenyua meno, appreciate sifa mwaya weeh, maisha mafupi haya. Jitoe fahamu ujienjoy ila usivunje amri za Mungu tu,lol


Unajua nini King'asti,

Kila kitu kinaenda kwa mpangilio...kila stage ina lugha yake kwani hata malengo yake ni tofauti...

Haiawezekani mtu aendelee kuongea na mke wake kama vile ni ma GFs and BFs...

Ila ukali nao ukizidi either way unakera!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hii ni kweli fulani hivi. (Ni rahisi sana kujua mwanaume akiongea kwa simu kuwa anaongea na wife au mtu mwingine). Just kuongezea hapo si kuna ile nyingine.....Ukiwa kwenye foleni barabarani si unaona inavyokua rahisi kujua dereva na yule kwenye passenger's seat kuwa ni mke na mume au la?
Nadahni mabo mengi yanachangia na si lazima iwe kuchokana. Ninaloliona kwa sehemu kubwa (linalonitokea mimi mar nyingi) ni namna mlivyoondoka nyumbani asubuhi. Unajua kunaweza kuwa na tuvitu tudogo sana mmepishana mfano amenichelewesha nimemsubiri getini dk 10 wakati nilitoka ndani akiwa tayari,unamkurupua kwa mihoni mingii anakuja anahema,basi nae kama kauzu ndo hata kusema sorry dear na kujichekesha kikekike (small small things do win us men) anatia uso mbuzi basi mpaka mnaachana ni ile kuagana kukavukavu....sikilizia simu itavyojibiwa baadae!
Au mwanamke kazi yake ku-bip na kuandika message tu,akipiga tu basi ujue..."dada anasema gesi imeisha,halafu na maziwa ya mtoto pitia basi"....kwa hiyo jamaa anaji-tune kuwa hakuna jema kwa simu za huyu "mtu". Lakini kama ingekua ni kawaida kuwa katikati ya stress za kazi za bepari mara kasimu katamu ka waifu kanapigwa....ukali utoke wapi tena!
Ni vijimambo vidogo vodogo tu kwa kweli na nadhani mwanamke anayo key yakufungua,kama atakua mwerevu wa kutosha kufahamu nafasi yake. Mwanaume hapindui kwa mke mwerevu aisee! Hata madikteta wa dunia hukamatwa na wanawake.
 
Hii ni kweli fulani hivi. (Ni rahisi sana kujua mwanaume akiongea kwa simu kuwa anaongea na wife au mtu mwingine). Just kuongezea hapo si kuna ile nyingine.....Ukiwa kwenye foleni barabarani si unaona inavyokua rahisi kujua dereva na yule kwenye passenger's seat kuwa ni mke na mume au la?
Nadahni mabo mengi yanachangia na si lazima iwe kuchokana. Ninaloliona kwa sehemu kubwa (linalonitokea mimi mar nyingi) ni namna mlivyoondoka nyumbani asubuhi. Unajua kunaweza kuwa na tuvitu tudogo sana mmepishana mfano amenichelewesha nimemsubiri getini dk 10 wakati nilitoka ndani akiwa tayari,unamkurupua kwa mihoni mingii anakuja anahema,basi nae kama kauzu ndo hata kusema sorry dear na kujichekesha kikekike (small small things do win us men) anatia uso mbuzi basi mpaka mnaachana ni ile kuagana kukavukavu....sikilizia simu itavyojibiwa baadae!
Au mwanamke kazi yake ku-bip na kuandika message tu,akipiga tu basi ujue..."dada anasema gesi imeisha,halafu na maziwa ya mtoto pitia basi"....kwa hiyo jamaa anaji-tune kuwa hakuna jema kwa simu za huyu "mtu". Lakini kama ingekua ni kawaida kuwa katikati ya stress za kazi za bepari mara kasimu katamu ka waifu kanapigwa....ukali utoke wapi tena!
Ni vijimambo vidogo vodogo tu kwa kweli na nadhani mwanamke anayo key yakufungua,kama atakua mwerevu wa kutosha kufahamu nafasi yake. Mwanaume hapindui kwa mke mwerevu aisee! Hata madikteta wa dunia hukamatwa na wanawake.


wanaume
Wanaume
wanaume........

Kuishi na hawa viumbe sometimes inabidi kukaza roho......

Wewe umewahi garini kwa sababu mkeo alidamka kukuandaa......

Kadamka kuandaa na watoto....

Kadamka kutengeneza nyumba iwe na hali nzuri.....

Then unampongeza kwa mihoni.......

Mbaya zaidi akikupigia kukwambia ununue maziwa au gesi imeisha mwaona kero......

Dah..........wanawake kazi mnayo.....
 
Hiyo huwa ni tabia ya wanaume wengi, yani hawako romantic kabisaaa! Basi ukutane na mwanaume wa aina hiyo, mkali 24 hrs, alafu akirudi nyumbani anaanza kelele kwenye masuala ya chakula mara oooh, hii ,mboga mbona haijakolea nazi, mara chumvi kidogo sana, mara ,mbona jikoni hamjafagia, khaaaa aisee wanaume wa aina hii mnabore sana.

Wanawake usipokuwa mkali anakuzoea zoea yap full ukauzu zaidi ya Dagaa dakika 1 kicheko 10 siriasi...unapenda mambo ya masharo B ooh honey! Sijui sweety! Mi huwa siya entertain hayo
 
wanaume
Wanaume
wanaume........

Kuishi na hawa viumbe sometimes inabidi kukaza roho......

Wewe umewahi garini kwa sababu mkeo alidamka kukuandaa......

Kadamka kuandaa na watoto....

Kadamka kutengeneza nyumba iwe na hali nzuri.....

Then unampongeza kwa mihoni.......

Mbaya zaidi akikupigia kukwambia ununue maziwa au gesi imeisha mwaona kero......


Dah..........wanawake kazi mnayo.....

Umeona eee yaani ni kama watumwa fulani hivi.. Sasa bora utumike na mtu a appreciate.. wapi, bado akupe na maneno ya kejeli.. mmh
 
Wanawake wengi hata hivyo hawajui
kuwa mtu anapokuwa ofisini huwa anataka kila kitu
afanye as fast as possible
so simu ya wife inakuwa 'a very big interruption' na sometimes mtu anajikuta
anataka kumjibu mkewe as short as possible......

tusisahau sio kazi zote au sio wote wenye ku enjoy kazi zao

so mimi nashauri kama kitu sio urgent usimpigie mwenzio
angalau subiri akiwa ameshatoka kazini au lunch time.....
 
......cuts both ways jamani, kwa experiences zangu, hata mwanamke akishasaini cheti cha ndoa sauti ya mlegezo inaondoshwa, Unless anataka kukufanya ATM au akutume tume...
 
......cuts both ways jamani, kwa experiences zangu, hata mwanamke akishasaini cheti cha ndoa sauti ya mlegezo inaondoshwa, Unless anataka kukufanya ATM au akutume tume...

Nakubaliana na wewe swahiba wangu. Sababu ziko wazi, hakuna sababu ya kumlisha ndoana samaki ambaye keshavuliwa.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Men are selfish my dear. Ukimuona anavyocheka na wanawake wote ofisini na hata wakimuagiza maji ya kunywa anawaletea, akirudi home anavuta mdomo kama kalambishwa sumu. Usijikoseshe raha, cheka with all men for the day's share, ukirudi home na wewe unapumzika mdomo na mapafu ya kuchekea. Manake unahangaika nimemuudhi nini kipenzi kumbe mwenzio anachat na wa ofisini na kesho wanaenda kumalizia stori. Sio kama anatembea nao, ila basi tu! Raha jipe mwenyewe bibie.

Lol, we aint selfish bana....ni "maua mazuri yapendeza!"...
 
tena wewe ulie kwenye stagnant springs, hata siulizi, lol.
na kweli maua yanametameta ila yananyauka, tukirukia ua lingine mnaanza kumind. ndo uselfish wenyewe. :glasses-nerdy:

Lol, we aint selfish bana....ni "maua mazuri yapendeza!"...
 
Back
Top Bottom