Swali kwa wanaume hasa walio kwenye ndoa...

Swali kwa wanaume hasa walio kwenye ndoa...

Mwanamme kumgombeza mkewe naona ni sawa kabisa pale unapoona kuna mambo hayaendi sawa alafu ni kwa uzembe.

Ila sipendi kufoka kwenye simu nikiwa labda ofisini au na washikaji, huwa sipendi watu wengine wajue mambo ya home kwangu japokuwa kwa bahati mbaya inaweza ikawa imeshatokea mara kadhaa.
 
Back
Top Bottom