kwanza binafsi naona si sawa kubadili vidume si kwa home tu bali kimaadili si sawa! mtu anapaswa kutulia na mpenzi mmoja,kama imebidi basi kwa mdada kubadili ili atii kiu yake nadhani si vema kuonyesha kaka zake uchafu anaofanya maana ni kinyume na maadili,afanyie mbali tena ikibidi kwa siri basi dah!
Wahusika watajibu hapa.
Na hao wanaofanyia upuuzi wao nyumbani kwa msichana watakuwa hawanazo!
Lakin TB, mpaka ukalale kwa msichana/mwanamke ni lazima umfahamu vizuri...lazima utakuwa umeshafahamu anaishi na nani na relationship status yake ipoje usijekuta ni mke wa mtu!!hujawahi kulala kwa mwanamke 'asubuhi' ndo ukagundua
anaishi na kaka zake?
we unazungumzia msichana...
je wadada wakubwa above 35???
wengine anakwambia hotelini sitaki...
njoo kwangu,unafika ndo unajua yuko na wadogo zake..
Lakin TB, mpaka ukalale kwa msichana/mwanamke ni lazima umfahamu vizuri...lazima utakuwa umeshafahamu anaishi na nani na relationship status yake ipoje usijekuta ni mke wa mtu!!
Husna unakimbiae haya!
Aise ngoma za fasta fasta ishu sana!! ikitokea kabisa na huna jinsi basi piga fasta the kimbia usiku huo huo..!!!wanasema in life if you follows all the rules,you missed out the fun.. lol..
Aise ngoma za fasta fasta ishu sana!! ikitokea kabisa na huna jinsi basi piga fasta the kimbia usiku huo huo..!!!
wengine hawabadili kwa kutaka...
na hawapendi kwenda gesti pia...
anakuwa na wa kwanza...anamleta home..bahati mbaya wanaachana..
anapata mwingine,pia anamleta home....aende wapi????
Nilikuelewa TB, niliposema ikitokea huna jinsi kabisa, nimemaanisha kwa mtu yoyote,,,sikumaanisha wewe in particular...sorry kama nimekuoffend!nafikiri hujanielewa
sijizungumzii mimi hapa...
mimi huwa na sitawahi kulala kwa mwanamke nisiyemfahamu vizuri....
hapa nazungumzia kwa ujumla mambo yanayotokea katika jamii
na migogoro yake...
nimewahi kwenda 'out' na mdada ambae ameongozana na kaka yake mdogo but over 18
twice....na ilikuwa first date lol...
tulikaa wote bar tunapiga story na kunywa...halafu muda wa kuagana...kaka akatangulia ili
tupate mda wa 'kuzungumza' lol..
Hili nahisi si suala la kulitatua kwa jazba za kimfumo dume au mfumo beijing bali kwa maadili, heshima na mazungumzo kati ya wahusika.
Binafsi nisingeweza kuleta msichana "wa kupita" nyumbani ninapoishi na yeyote wa familia yangu, hata awe kaka au mdogo wangu wa kiume. Chapchap zangu nje!
Ikiwa nimepata mchumba nitamjulisha kwa dada yangu. Pamoja na hayo, sioni kama itakuwa heshima kwangu na kwa dada yangu kumleta huyu mchumba nyumbani kwa kulala. Usipofanya hivyo, unaweka misingi ya maadili nyumbani mwenu na dada yako ataiga hivyo hata bila ya kumwambia. Kama atafanya, mwambie awache! Lakini ikiwa wewe kaka unaleta wako, kwa nini na yeye asilete? Nongwa za nini?
Mi mzima Prishaz, wewe tu!Umenena vema Mammamia,hujambo lakini?
Kama nyinyi ni wakaka...mnaishi na dada yenu mwenye ajira yake
wote ni above 25 au hata above 30
lakini mnaishi nyumba ya familia bila wazazi.....
na nyinyi vidume mnaleta 'mizigo' na kubadili 'warembo'
bila kuulizwa na mtu.....
je siku dada yenu akileta 'mtu' mpaka asubuhi....mtafanyaje??????
na ikitokea 'mlivumilia' siku hiyo
akaja kuleta 'kidume' kingine mtafanyaje???
kumbuka dada yenu ni mkubwa na anajitegemea lakini...
nyumba ni yenu wote.....