Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
- Thread starter
- #261
Unaogopa nini mtoto mzuri ?Siogopi kupima
Unaogopa nini mtoto mzuri ?Siogopi kupima
Maji ya pale katiUchoyo wa nini?
Me mzima...vipi wewe?
Unaogopa nini mtoto mzuri ?
Aisee me nachukia kuuza mwili...yaan nikiona mtu anaongelea kuhusu kumnunua mwanamke napata hasira na kichefuchefu kabisa...sijui wenzangu huwa mnaichukuliaje hii issue? Eti nilale na mtu ili anipe hela? Je thamani ya mwili wangu inapimwa kwa hela? Nimekuwa nyama buchani?? Naheshimu mwili wangu na hisia zangu kuliko chochote...siwezi uza utu wangu hata kama napitia magumu kiasi gani....utu wangu haupimwi kwa kiasi chochote cha fedha....kwani mwili wa mwanamke ni bidhaa?? I really hate this! na Mungu aendelee kunisaidie nisije waza kulala na mwanaume eti kisa nina shida ya hela.Kufa hafi ila atapata taabu sana. Ki ubinadamu lazima utampa anywe. Uongo ?![]()
Ukibaki na msimamo huo huo nakuhakikishia njia yako ya kwenda peponi ni nyeupe mno.Thamani yangu kwanza..hiyo 2m naweza itafuta nikaipata haijalishi kwa muda gani
Sitampa afe tu kwa hiyo kiu .Maji ya pale kati
Umeandika ukweli best hawawezi kukuelewa hao wanunua machangudoaAisee me nachukia kuuza mwili...yaan nikiona mtu anaongelea kuhusu kumnunua mwanamke napata hasira na kichefuchefu kabisa...sijui wenzangu huwa mnaichukuliaje hii issue? Eti nilale na mtu ili anipe hela? Je thamani ya mwili wangu inapimwa kwa hela? Nimekuwa nyama buchani?? Naheshimu mwili wangu na hisia zangu kuliko chochote...siwezi uza utu wangu hata kama napitia magumu kiasi gani....utu wangu haupimwi kwa kiasi chochote cha fedha....kwani mwili wa mwanamke ni bidhaa?? I really hate this! na Mungu aendelee kunisaidie nisije waza kulala na mwanaume eti kisa nina shida ya hela.
Watachukua karne nzima kumuelewa.Umeandika ukweli best hawawezi kukuelewa hao wanunua machangudoa
Kwahiyo Hutaki Mahari.. Nije kukuoa BureAisee me nachukia kuuza mwili...yaan nikiona mtu anaongelea kuhusu kumnunua mwanamke napata hasira na kichefuchefu kabisa...sijui wenzangu huwa mnaichukuliaje hii issue? Eti nilale na mtu ili anipe hela? Je thamani ya mwili wangu inapimwa kwa hela? Nimekuwa nyama buchani?? Naheshimu mwili wangu na hisia zangu kuliko chochote...siwezi uza utu wangu hata kama napitia magumu kiasi gani....utu wangu haupimwi kwa kiasi chochote cha fedha....kwani mwili wa mwanamke ni bidhaa?? I really hate this! na Mungu aendelee kunisaidie nisije waza kulala na mwanaume eti kisa nina shida ya hela.
Bi faiza wewe unatoa papuchi??Sasa hayo mapenzi au biashara? Umeona 2m nyingi, wenzako wanahonga majumba. Doroo.
Sitampa afe tu kwa hiyo kiu .
HahahaAisee me nachukia kuuza mwili...yaan nikiona mtu anaongelea kuhusu kumnunua mwanamke napata hasira na kichefuchefu kabisa...sijui wenzangu huwa mnaichukuliaje hii issue? Eti nilale na mtu ili anipe hela? Je thamani ya mwili wangu inapimwa kwa hela? Nimekuwa nyama buchani?? Naheshimu mwili wangu na hisia zangu kuliko chochote...siwezi uza utu wangu hata kama napitia magumu kiasi gani....utu wangu haupimwi kwa kiasi chochote cha fedha....kwani mwili wa mwanamke ni bidhaa?? I really hate this! na Mungu aendelee kunisaidie nisije waza kulala na mwanaume eti kisa nina shida ya hela.
Eeeh wacha weeThamani yangu kwanza..hiyo 2m naweza itafuta nikaipata haijalishi kwa muda gani
Msipretend.. 2M hela ndogo? kama unamaanisha ivi wewe ni ngumu sana kupata hela..Million tano hata kijumba hujengi. Aah wapi. Ndogo hyo. Unaweza ukapata migonjwa ukaitibu zaid ya hyo million 5
Umeandika ukweli best hawawezi kukuelewa hao wanunua machangudoa
Kwa jibu hili we unapokea mil 2Mwanaume anakujia na maneno mengiii, ooh nakupenda na blah blah zingine kibao ila mwisho wa siku unakopwa papuchi na stress juu.
Kwa sababu wanaona mwili unaweza nunuliwa kama nyama buchani watachukua muda kunielewaWatachukua karne nzima kumuelewa.
SafiiiiiiiiiTena wanaume wenyewe wa siku hizi hawa...tako mbil tu chali najichukulia pay yangu kiulain tu
Haya.Kwa jibu hili we unapokea mil 2