jangala
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,583
- 2,362
Hivi nyie akina dada wa humu Jf mbona mna ubaguzi sana kuliko sisi wanaume?..Nasema hvyo kutokana na tabia yenu ya kujitenga nasi pindi tunapohitaji msaada kutoka kwenu..mfano hai ni katika Threads ambazo mwanaume akiandika ''NATAFUTA MCHUMBA WA KIKE'' basi mtu huyu hawezi kupata ushauri wala PM yoyote kutoka kwenu labda iwe ni kutoka kwa wanaume wenzie..Ila nyinyi mkiandika ''NATAFUTA MCHUMBA WA KIUME'' Basi thread hiyo utakuta ina page 30 na Pm za kutosha...
SWALI LANGU NI HILI:
1.Wanaume tuna kiherehere au tunashoboka na nyinyi hata kama mtu kasema ana miaka 47 ila thread tutaichangia?
2.Jf hakuna wanawake kiasi cha thread kukosa twin page na pm hata ya kizushi?
Mkishindwa kuchangia na hapa basi ile fifty fifty mnaitaka kinafki..
SWALI LANGU NI HILI:
1.Wanaume tuna kiherehere au tunashoboka na nyinyi hata kama mtu kasema ana miaka 47 ila thread tutaichangia?
2.Jf hakuna wanawake kiasi cha thread kukosa twin page na pm hata ya kizushi?
Mkishindwa kuchangia na hapa basi ile fifty fifty mnaitaka kinafki..