NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,801
- 647
Hivi kwa nini ndugu zangu waislamu huwa wanachinja maiti kabla ya kuzika? Nimeuliza ninao wafahamu wakasema kuwa wanakata koo ili kama maiti alichukuliwa msukule wanamuua ili wakose wote yaani mchawi na wafiwa. Kwangu mimi sikuridhika na hilo jibu naomba kama kuna mtu anayefahamu anieleweshe zaidi.