Clemence Baraka
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,693
- 652
Dr James mataragio nguli wa mafuta na gesi duniani tumemtoa wenyewe huko usa alipokuwa anafanya kazi
Hawa ndio akina balali, ndulu type
Hivi ni waziri yupi wa nishati aliyemtafuta huyu ndugu?
Dr James mataragio nguli wa mafuta na gesi duniani tumemtoa wenyewe huko usa alipokuwa anafanya kazi
Hawa ndio akina balali, ndulu type
Una uhakika na ulichokiandika au umekurupuka tu?
Tanzania says LNG project could cost up to $30 bln - CNBC AfricaShirikisha ubongo wako kufikiria.
Unaweza pia kutumia google kupata taarifa ya gharama nchi nyingine zilizoingia kujenga LNG Plant.
Hivi una uhakika ni hicho kiasi cha pesa ulichoandika? USD 25 billions? Unajua mradi wa kujenga reli Standard Gauge kwa kilometer 2,500 ni USD 7 billions? Hiyo LNG plant tu ndio iwe USD 25 billions? Kweli?
ndio kawaida ya walimu,hasa wale kutoka mkoa wa mara! anatusumbua sana na majungu yake TPDCKuna mtu yuko idara ya sheria TPDC anapenda majungu sana,atawasumbua mno
Hivi huyu jamaa analipwa mshahara kiasi gani?
Na inawezekana vipi akawa anatumia milioni 70 za walipa kodi kila mwezi kwenda kutazama familia yake USA na kurudi?
Kwanini anatumia muda mrefu zaidi USA kuliko ofisini kwake?
Cha ajabu toka apewe hiyo kazi hakuna lolote la maana alilolifanya mradi wa mtambo wa LNG wa dola bilioni 25 na ushee huko Mtwara ushakwama kwa sababu watu wamekula pesa za viwanja na kesi za ajabu ajabu zimefunguliwa.
Mbaya zaidi huyu jamaa amebatizwa jina pale ofisini kwake wanamwita CAPTAIN AMERICA na wengine wanamwita MSAFIRI. Hivi haoni wenzake kama bosi mpya wa TCRA wanavyofanya kazi?
Halafu Magufuli ana tafuta wachawi wakati wapo wazi wazi.
Hivi una uhakika ni hicho kiasi cha pesa ulichoandika? USD 25 billions? Unajua mradi wa kujenga reli Standard Gauge kwa kilometer 2,500 ni USD 7 billions? Hiyo LNG plant tu ndio iwe USD 25 billions? Kweli?
sawa tunalifanyia kazi mkuu
Tutalifikisha makumbusho kwa uchunguzi zaidi
Kama kweli kaingia juzi juzi mbona mna haraka? Mmepati mtu ambaye anategemea mshahara mzuri sio rushwa sasa mafisadi wana haha
Acheni unafiki, mtu hana hata mwaka kazini mlitaka afanyeje.
Yule bwana anafanya kazi kitaalam,ni msomi wa kiwango cha dunia,mambo ya kiswahili hawezi.
Tatizo wana JF mnapost mada isiyokuwa na chanzo cha habari (source). Huyo Boss mpya wa TPDC ni nani? Mimi namjua Yona Kilighane kama ameingia Mzungu tueleze mtoa mada.
Sioni kama kuna ukweli hapa...pesa kiasi hicho kinatumikaje kwa safari tu? Halafu kwa taratibu za kiserikali Mkurugenzi kama yule alisafiri lazima atoe taarifa kwa Katibu Mkuu wake na aeleze nia na madhumuni ya safari.... Kuhusu mradi wa LNG na mm naungana na huyu mwingine alieuliza kwani suala la ardhi ni la Tpdc pia? Sio kwamna kuna wizara husika? Na kama kuna watu wamekula pesa hizo si kuna auditing ya CAG inafanyika kwa taasisi za umma kila mwaka? Tusome hizi ripoti tujue ukweli
Hivi huyu jamaa analipwa mshahara kiasi gani?
Na inawezekana vipi akawa anatumia milioni 70 za walipa kodi kila mwezi kwenda kutazama familia yake USA na kurudi?
Kwanini anatumia muda mrefu zaidi USA kuliko ofisini kwake?
Cha ajabu toka apewe hiyo kazi hakuna lolote la maana alilolifanya mradi wa mtambo wa LNG wa dola bilioni 25 na ushee huko Mtwara ushakwama kwa sababu watu wamekula pesa za viwanja na kesi za ajabu ajabu zimefunguliwa.
Mbaya zaidi huyu jamaa amebatizwa jina pale ofisini kwake wanamwita CAPTAIN AMERICA na wengine wanamwita MSAFIRI. Hivi haoni wenzake kama bosi mpya wa TCRA wanavyofanya kazi?
Halafu Magufuli ana tafuta wachawi wakati wapo wazi wazi.
Dr James mataragio nguli wa mafuta na gesi duniani tumemtoa wenyewe huko usa alipokuwa anafanya kazi
Hawa ndio akina balali, ndulu type
Hivi huyu jamaa analipwa mshahara kiasi gani?
Na inawezekana vipi akawa anatumia milioni 70 za walipa kodi kila mwezi kwenda kutazama familia yake USA na kurudi?
Kwanini anatumia muda mrefu zaidi USA kuliko ofisini kwake?
Cha ajabu toka apewe hiyo kazi hakuna lolote la maana alilolifanya mradi wa mtambo wa LNG wa dola bilioni 25 na ushee huko Mtwara ushakwama kwa sababu watu wamekula pesa za viwanja na kesi za ajabu ajabu zimefunguliwa.
Mbaya zaidi huyu jamaa amebatizwa jina pale ofisini kwake wanamwita CAPTAIN AMERICA na wengine wanamwita MSAFIRI. Hivi haoni wenzake kama bosi mpya wa TCRA wanavyofanya kazi?
Halafu Magufuli ana tafuta wachawi wakati wapo wazi wazi.
Dr James mataragio nguli wa mafuta na gesi duniani tumemtoa wenyewe huko usa alipokuwa anafanya kazi
Hawa ndio akina balali, ndulu type
Mkuu masuala ya la Wakurugenzi wa Kuu kufuja pesa kwenye safari za nje zisizo na tija kwa Taifa lipo kwenye baadhi ya Mashirika ya Umma nchini yakiwemo Crop Boards specifically Shirika la SUKARI - Dk.Magufuli lifatilie kwa karibu Shirika hilo - zao la SUKARI ni Political Commodity kuna madudu mengi pale.