Hili la Compensation siyo news katika ulimwengu wa ushindani.Tukiendelea hivi,public sector corporations zitabakiza magarasha,kisha zitakuwa kama zile za Siku za ujamaa.Watanzania tuna shida ya wivu,na kijicho,kwa nini huyu analipwa nyingi.Ugonjwa huu upo private sector,upo public na NGOs.Miaka 4 iliyopita pay yangu ilikuwa inawapita Kanisa wangu kadhaa.Wakaanzisha fitina hadi kwa Mkuu wa Taasisi (Country Director).CD akawambia Kila MTU aliingia kwa kunegotiate (Kitu ambacho waTZ tukio very weak).Wakaongeza wamenywea.Niliwahi kuwa na boss wangu,kwenye TNC (Transnational Corp),akilipwa US20K per month,Akiwa MBA graduate wa prestigious college ya RSA.Akanote ninapungukiwa morali,alikuwa mkaburu,akaniambia,Hebu malizia MBA tuongee vizuri.Nikajipinda,kabla sijamaliza akarudi kwao.
Kwa sasa natumikia umma,lakini nasikitika hii issue ya pay.
Kama MTU huko skilled,kasoma shule nzuri,nawe kwenye umma unamletea mchezo,wakati the same person anaweza kuperform kwani nini akomae?Eric kisa uzalendo!
Tujifunze kuappreciate differences,kama wakati wenzio walipelekwa shule nzuri wear ukapelekwa St.Kayumba,ujue gap limeanzia hapo.