Technologiest
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,712
- 4,026
Mthibitishie aache ubishiUmenipima?!
Mbona unataka kujidai unanifahamu sanaa? !
Mthibitishie aache ubishiUmenipima?!
Mbona unataka kujidai unanifahamu sanaa? !
huku kiuno kikizungushwa hapo
Wordka! kama mumeo anafurahishwa na mauno ako zaidi kuliko tabia zako ujue ww mmeo n mpenda jigijigi tu na c vinginevyo yan ww n wa kuliwa tu
Duuh we mama ni shida aseehKukatika huku umesimama ni tofautu na kukatika huku mtu kakubana miguu juu
We money penny. Labda hao ambao hawakatiki kwao mwiba ukizama wanahisi mateso.Wouuuyoooooooo!
Money Penny nime-Damshi hapa uuuuwi
Akyanani kama hujui kukatika umekwishaaaa! Kila siku utakuwa unatufungulia uzi kwanini wanachepuka wanaume wapoje wanaume sijui nini mara ngoja nikaoe nchi ya jirani mara wanaume wa mkoa ndio bora .... ode mae we katika tu
Mchaga na Msukuma wamekatikaje YouTube mpaka najiuliza hii video watafungiwa au ndio wasanii hawafungiwi?!
Kiru Money Penny naanza kurikodi video mpya YouTube kwa fyuuuujooo nikikatika .. woyoooooo!
Je wewe Unajua kukatika Kitandani au unakaa kama nguzo ya mwembe? !
Ukitaka usichepukiwe na bwanako we katika tu... narudia we katika oooo!
Alafu kukatika haina cha jinsia... jinsia zote tunakatika
Ila kama utakatika kama Feni Mpya mumeo ataenda atarudi si Unajua tena mwenda tezi na omo...
NimemDamshia Mume usiku usiku kwa kukatika.. nasubiria Round ya 2..
Shikamoo Navy Kenzo sio kwa kutukatikia huku we Mmarangu wewe!
kuna wengine wanazungusha tu😀😀😀Kukatika huku umesimama ni tofautu na kukatika huku mtu kakubana miguu juu
SawaWachepukaji
Sawa uncleKiuno bila akili kichwani bure kabisaaa!
Kwahiyo wewe ukimchepukia mkeo demu wako inamaana hana akili sio? !Kiuno bila akili kichwani bure kabisaaa!
Sijaelewa ulichoandikaBasi mkiambiwa baby katika usikatike mpaka mbavu zipate shida
🙈kuna wengine wanazungusha tu😀😀😀
Sina huo mudaMthibitishie aache ubishi
AiseeMafundi huwa hawaongei.tena hakuna wapole na wakimya kama wao
Lkn mechi ikianza unaweza kujikuta unabebwa juu kwa kiuno hadi dirishani unatema mate kisha unarudishwahuku kiuno kikizungushwa hapo
Tena ogopa upate mtoto wa kinyamwezi,(Mboka Manyema)unaweza kuhonga hadi nyumba ya urithi
Chezea waswezi weweee!!!!
AiseeKukatika jukwan sio kukatika kwa bed faham hili
Yani wewe ni Mbululaz sijawahi onaWe money penny. Labda hao ambao hawakatiki kwao mwiba ukizama wanahisi mateso.
My take yawezkana una papuch kubwa kana kwamna mwiba ukizama we hisikii kitu
Yani wewe ni Mbululaz sijawahi ona
Ila nisibishane na Pupil ni sawa na kumwambia mtoto wa Nursery Katuni ni mbaya mkakaa kubishana
. Basi nifundeNjoo YouTube ukajifunze. Basi nifunde