Swali: Je Unajua Kukatika Kitandani?!

Swali: Je Unajua Kukatika Kitandani?!

Mkuu unaweza ukakatika mpaka miguu ikapishana lakini kama si mnyenyekevu, huna kauli nzuri swala la kuchepuka linakuwa inevitable.
Mmmh
Unayoongea ni theory
Practical utampata mnyenyekevu akakaa kama gogo bado utamkumbuka asiemnyenyekevu ukarudia kwake
Tumeona mengi
akili za wanaume tunazijua sisi akina bibi
 
Wouuuyoooooooo!
Money Penny nime-Damshi hapa uuuuwi
Akyanani kama hujui kukatika umekwishaaaa! Kila siku utakuwa unatufungulia uzi kwanini wanachepuka wanaume wapoje wanaume sijui nini mara ngoja nikaoe nchi ya jirani mara wanaume wa mkoa ndio bora .... ode mae we katika tu

Mchaga na Msukuma wamekatikaje YouTube mpaka najiuliza hii video watafungiwa au ndio wasanii hawafungiwi?!

Kiru Money Penny naanza kurikodi video mpya YouTube kwa fyuuuujooo nikikatika .. woyoooooo!

Je wewe Unajua kukatika Kitandani au unakaa kama nguzo ya mwembe? !
Ukitaka usichepukiwe na bwanako we katika tu... narudia we katika oooo!

Alafu kukatika haina cha jinsia... jinsia zote tunakatika
Ila kama utakatika kama Feni Mpya mumeo ataenda atarudi si Unajua tena mwenda tezi na omo...

NimemDamshia Mume usiku usiku kwa kukatika.. nasubiria Round ya 2..

Shikamoo Navy Kenzo sio kwa kutukatikia huku we Mmarangu wewe!


Nasubiria kuona wanaume watakao unga mkono hii hoja ya wanaume kukatita kisha niwafuate Inbox nikajadili nao Jambo kidogo.
 
Hayo yote ni extra tu kitu cha muhimu kwa mwanamke ni hekima na akili ya kuweza kuishi na mume wake mengine yatajiseti yenyewe
Hayo yote wenzio wanafanya bado wanalia
Ode kitanda Mungu anakiheshimu ndio maana Mtume Paul alisema na Malazi yawe safi (bedroom)
Huku kwenye ndoa utaigiza sanaa zote za unyeyekevu na hekima na adabu mwisho wa siku mume anataka nanilii za kuchizishana
 
Back
Top Bottom