Swali hili sio muhimu kumuliza mpenzi

Swali hili sio muhimu kumuliza mpenzi

Ya nini kutaka kujua maana sana sana unajipa muda wa kudanganywa tuu kwa maana hatakuambia ukweli kabisa na wewe hutasema ukweli wako sasa ya nini kudanganyana Zinduna
 
Last edited by a moderator:
Nikiuliza ni vile nataka kucheza na saikolojia yake, na jibu atakalonipa haliwezi kubadilisha chochote coz nina uhakika kwa asilimia kubwa ni wachache wenye uthubutu wa kusema ukweli.
Huwa nasema, karne hii ukipata mtu alotembea na watu wanaopungua watano utakuwa umepata bikra..iwe ya kiume au ya kike..

Hahaaaa,, hii kweli mkuu
 
Hiyo ni njia ya kutafuta excuse kwa wanawake.
Ukweli ni kwamba, mwanamke anatakiwa akitulize mpaka atakapoolewa ndo mana amewekewa bikra kwa ajili ya mmewe tu.

ni kweli mkuu yani mie sitakuja kuoa msichana ambae si bikra.
NGONO ilikusudiwa kwa watu ambae wangefunga ndoa lakini watu hawataki kukubali kwamba kufanya NGONO na mtu ambaye hujafunga nae ndoa ni dhambi ya uzinzi.
 
ni kweli mkuu yani mie sitakuja kuoa msichana ambae si bikra.

NGONO ilikusudiwa kwa watu ambae wangefunga ndoa lakini watu hawataki kukubali kwamba kufanya NGONO na mtu ambaye hujafunga nae ndoa ni dhambi ya uzinzi.


Umpate wapi karne hii..! Hakuna sababu ya kujiwekea vigezo ambavyo mwenyewe huna. Wewe ni bikra??
 
Nikiuliza ujue nacheza na akili yako wala sio lingine. Coz najua utasema uongo. Siku hizi watu wanatembea bila boxer/pichu..!

ha ha ha haha na mimi nasema uongo wa kukuumiza
 
Pale mwanzoni mnapotongozana ni kawaida kuuliza ushakuwa na wapenzi wangapi,ila sasa baada ya kuwa pamoja kuuliza uliza tena utakuwa hujiamini
Hebu tujiulize, tunafikiri kuwa swali hilo la kujua idadi ya wapenzi wa nyuma lina mantiki kweli? na je, kila mmoja anategemea kupata jibu gani kutoka kwa mwenzie?
Na hata baada ya kujua hayo utafanya nini baada ya hapo?
 
Hebu tujiulize, tunafikiri kuwa swali hilo la kujua idadi ya wapenzi wa nyuma lina mantiki kweli? na je, kila mmoja anategemea kupata jibu gani kutoka kwa mwenzie?
Na hata baada ya kujua hayo utafanya nini baada ya hapo?

Ina mantiki hata kuwajua kwa majina,ili usidanganyike siku akiwa na jamaa ukaambiwa ni mjomba
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umpate wapi karne hii..! Hakuna sababu ya kujiwekea vigezo ambavyo mwenyewe huna. Wewe ni bikra??

hahahahahaaaa...
Mbona wapo tu ila ukitaka kuwapata usiwe na haraka.
Na usifikiri utakutana nao maeneo yafuatayo:
-bar
-chuoni
-club
-na sehem nyingine za starehe
 
Back
Top Bottom