KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kuna tatizo katika swala zima la shule za watoto wetu Nini shida hasa miaka 50 naushehe tunashindwa kujenga shule??
Nashukuru sasa hivi serikali ya Awamu ya Tano imelivalia njuga na inajitahidi kwa hili tuipe pongezi ila naona kuna tatizo katika mfumo wa utawala kuanzia chini.
Mfano ukiangalia watoto wetu wanakaa chini namna hii huku viongozi wanatembelea VX V8 inauma sana.
Nashukuru sasa hivi serikali ya Awamu ya Tano imelivalia njuga na inajitahidi kwa hili tuipe pongezi ila naona kuna tatizo katika mfumo wa utawala kuanzia chini.
Mfano ukiangalia watoto wetu wanakaa chini namna hii huku viongozi wanatembelea VX V8 inauma sana.