Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,112
Rais Magufuli amesema mbunge wa hapa ndugu Abood alichukua viwanda viwili bila kuviendeleza.
Amesema kuwa Mbunge wa Morogoro alichukua viwanda viwili Moprocco na Calvaly,amesema kiwandacha Moproco kilikuakinahusisha na utengenezaji wa mafuta ya kula hapo Morogoro.
Amesema Abood amekaa na viwanda hivyo kwa muda wa zaidi ya miaka 25 bila kuviendeleza mpaka kimoja kilipouzwa na kununuliwa na CRDB, nao CRDB nao wamekaa nacho bila kukiendeleza.
Rais Magufuli amesema anataka kiwanda hicho CRDB wakiendelezena si kukaaa nacho, ameagizwa wizara ya viwanda kufatilia viwanda hivyo ili siku moja aende kufungua kiwanda cha Moproco kitakachozalisha mafuta hapo Morogoro.
Rais Magufuli amesema anamsema hadharani mbunge huyo kwa kuwa kukaa na kiwanda bila kukiedeleza ni kuwanyima fursa ya ajira watanzania.
Rais Magufuli amemwagiza Waziri wa viwanda kuwanyang'anya wale wote ambao wamekaa na viwanda bila kuviendeleza. amesema huu ndi wakatiwa kutekeleza agizo hilo maana yeye bado yupo kwani akiondoka yatarudi yaleyale.
=======
Mororgoro ilikuwa ni source ya emplyoment ya watu wengi kwenye miaka ya 1999 ndipo ubinafsishwaji wa viwanda sera hiyo ilipokuja viwanda vingi vikabinafsishwa.
Na ndio maana leo nampongeza sana mh. Rostam kweli nakupongeza kwa sababu ndugu yako mbunge wa hapa alichukua viwanda viwili akashindwa kuviendeleza na mimi huwa ni mkweli nazungumzaga uwazi.
Ndugu Rostam alichukua viwanda vikubwa viwili cha Calvary pamoja na kingine kilikua kinatengeneza mafuta ya kupikia cha Moprocco mafua ya awali yalikua yanatengenezwa hapa.
Mbunge wetu na mimi nakusema hadharani huu ndio ukweli na mimi nitabaki kusema ukweli nasema uongo ndugu zangu amekaa na viwanda vya Calvary pamoja na Moprocco kwa zaidi ya miaka 25 kile kingine kikaja kikauzwa na CRDB nataka kuyasema haya kwa sababu niko Morogoro CRDB nao wamekaa nacho.
Waziri wa viwanda na Naibu Waziri wa viwanda nataka CRDB nao wahahakikishe kiwanda hiki cha Calvary eidha wanawapa mtu bure au wakiendeshe wao kianze nacho kufanya kazi kama hiki cha Rostam kinavyofanya kazi.
Na kile kiwanda cha Moprocco ambacho ndugu Abood ulinyang'anywa najua kiko mikononi mwa hazina wizara ya fedha wasihangaike hata kuleta waraka kwenye cabinet watafute muwekezaji nije niitwe kufungua kiwanda kitengeneze mauta kwa ajili ya kutoa ajira kwa watu wa Morogoro na watanzia, nilifikiri hata uje ugombee ubunge hapa umtoe huyu aliewanyima ajira watanzania.
Lakininajua ndugu Abood hili liwe funzo kwake viwanda vile vimeniuma mno kukaa navyo miaka zaidi ya 24 bila kuviendelezana vimekufa na wewe ni mbunge wa CCM, kwa hiyo leo Ndugu Rostam nakupongeza huyu leo simpongezi japo jana nilimpongeza ingawaje jana nilimpongeza ya kwenye viwanda ndugu Abood hujafanya vizuri, nikiondoka Morogoro bila kusema hili nitakuwa mnafiki.
Abood amekaa na kiwandaa wee akaenda kukopamabasi amekaa nacho wee kinakufa na sasa tunaagiza mafuta nanchi hii si ya kwenda kuagiza mafuta lakini viwanda tuliviua sisi wenyewe na kwa Morogoro aliviua Mbunge Abood.Kwa leo Mbunge utanivumiliajana ulikua vizuri lakini kwa leo ni mabaya.
Amesema kuwa Mbunge wa Morogoro alichukua viwanda viwili Moprocco na Calvaly,amesema kiwandacha Moproco kilikuakinahusisha na utengenezaji wa mafuta ya kula hapo Morogoro.
Amesema Abood amekaa na viwanda hivyo kwa muda wa zaidi ya miaka 25 bila kuviendeleza mpaka kimoja kilipouzwa na kununuliwa na CRDB, nao CRDB nao wamekaa nacho bila kukiendeleza.
Rais Magufuli amesema anataka kiwanda hicho CRDB wakiendelezena si kukaaa nacho, ameagizwa wizara ya viwanda kufatilia viwanda hivyo ili siku moja aende kufungua kiwanda cha Moproco kitakachozalisha mafuta hapo Morogoro.
Rais Magufuli amesema anamsema hadharani mbunge huyo kwa kuwa kukaa na kiwanda bila kukiedeleza ni kuwanyima fursa ya ajira watanzania.
Rais Magufuli amemwagiza Waziri wa viwanda kuwanyang'anya wale wote ambao wamekaa na viwanda bila kuviendeleza. amesema huu ndi wakatiwa kutekeleza agizo hilo maana yeye bado yupo kwani akiondoka yatarudi yaleyale.
=======
Mororgoro ilikuwa ni source ya emplyoment ya watu wengi kwenye miaka ya 1999 ndipo ubinafsishwaji wa viwanda sera hiyo ilipokuja viwanda vingi vikabinafsishwa.
Na ndio maana leo nampongeza sana mh. Rostam kweli nakupongeza kwa sababu ndugu yako mbunge wa hapa alichukua viwanda viwili akashindwa kuviendeleza na mimi huwa ni mkweli nazungumzaga uwazi.
Ndugu Rostam alichukua viwanda vikubwa viwili cha Calvary pamoja na kingine kilikua kinatengeneza mafuta ya kupikia cha Moprocco mafua ya awali yalikua yanatengenezwa hapa.
Mbunge wetu na mimi nakusema hadharani huu ndio ukweli na mimi nitabaki kusema ukweli nasema uongo ndugu zangu amekaa na viwanda vya Calvary pamoja na Moprocco kwa zaidi ya miaka 25 kile kingine kikaja kikauzwa na CRDB nataka kuyasema haya kwa sababu niko Morogoro CRDB nao wamekaa nacho.
Waziri wa viwanda na Naibu Waziri wa viwanda nataka CRDB nao wahahakikishe kiwanda hiki cha Calvary eidha wanawapa mtu bure au wakiendeshe wao kianze nacho kufanya kazi kama hiki cha Rostam kinavyofanya kazi.
Na kile kiwanda cha Moprocco ambacho ndugu Abood ulinyang'anywa najua kiko mikononi mwa hazina wizara ya fedha wasihangaike hata kuleta waraka kwenye cabinet watafute muwekezaji nije niitwe kufungua kiwanda kitengeneze mauta kwa ajili ya kutoa ajira kwa watu wa Morogoro na watanzia, nilifikiri hata uje ugombee ubunge hapa umtoe huyu aliewanyima ajira watanzania.
Lakininajua ndugu Abood hili liwe funzo kwake viwanda vile vimeniuma mno kukaa navyo miaka zaidi ya 24 bila kuviendelezana vimekufa na wewe ni mbunge wa CCM, kwa hiyo leo Ndugu Rostam nakupongeza huyu leo simpongezi japo jana nilimpongeza ingawaje jana nilimpongeza ya kwenye viwanda ndugu Abood hujafanya vizuri, nikiondoka Morogoro bila kusema hili nitakuwa mnafiki.
Abood amekaa na kiwandaa wee akaenda kukopamabasi amekaa nacho wee kinakufa na sasa tunaagiza mafuta nanchi hii si ya kwenda kuagiza mafuta lakini viwanda tuliviua sisi wenyewe na kwa Morogoro aliviua Mbunge Abood.Kwa leo Mbunge utanivumiliajana ulikua vizuri lakini kwa leo ni mabaya.