mawemeusi
Member
- Oct 13, 2012
- 28
- 13
Miaka hii ya karibuni nimeona baadhi watu wakitetea Kiswahili kitumike kwenye mikutano au kwenye dhiara za viongozi wanapotoka nje ya nchi au wanapopata wageni kutoka nje.
1)HV official language ya Tz in hipi?
2)Kuna haja gani Tz kuweka somo la English kuanzia primary na masomo yote kufundishwa kwa English kuanzia Sec?
NAOMBA MSAADA MNIFAFANULIE KWANINI TUCHAGUE KISWAHILI NA SIO ENGLISH.HILIHALI ENGLISH HUFUNDISHWA KWA MSISITIZO MKUBWA.
1)HV official language ya Tz in hipi?
2)Kuna haja gani Tz kuweka somo la English kuanzia primary na masomo yote kufundishwa kwa English kuanzia Sec?
NAOMBA MSAADA MNIFAFANULIE KWANINI TUCHAGUE KISWAHILI NA SIO ENGLISH.HILIHALI ENGLISH HUFUNDISHWA KWA MSISITIZO MKUBWA.