peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,827
- 21,448
Baada ya Prof Ndalichako kukurupushwa na Rais, sasa aja na kali ya mwaka.
Nimegundua prof. Ndalichako sio mwalimu kwa kusomea.
Ameamua kuanza kufundishwa masomo mawili ya Historia kwa darasa moja kwa shule moja. Mfano kidato cha nne wataspma masomo mawili ya Historia, moja somo la history litafundishwa kwa English na somo jingine la History litafundishwa kwa Kiswahili.
Sasa kuhusu kidato cha sita mfano PCB, watasiti kwa lazima somo la history linalofundishwa kwa kiswahili. That mean mwanafunzi wa PCB kidato cha sita kabla alikuwa anafanya mitihani ya kumalizia jumla ilikuwa paper 11, physics paper tatu. Biology paper tatu, chemistry paper tatu, Bam paper moja, social studies paper moja na sasa ataongezewa paper moja ya somo la history. Jumla zitakuwa paper 12.
Sasa kulingana na maelezo yake, yafuatayo yatajitokeza;-
1. Watahitajika walimu waongeze.
2. Vitabu vitungwe vipya
3. Mitihani itaongezeka gharama na siku za kusimamia
4. Muda wa masomo au vipindi itaongezeka
Na mengine mengi.
Ushauri: Mama huyu ninamshauri somo la history lililopo liboreshe kuanzia msingi Hadi sekondari kidato cha nne. Na liboreshe kidato cha tano na sita kwa wale wanaolisomea au combination zake tu. Pia anaweza kufanya language of instructions iwe Kiswahili ni sawa. Ila asiongeze liwe somo jipya na kuongea gharama ambazo hazistaili.
Alichokisema ni kuongea mzigo na gharama za bure kwa Baraza la mitihani Tanzania alikofanyia kazi pakamshinda.
Nimegundua prof. Ndalichako sio mwalimu kwa kusomea.
Ameamua kuanza kufundishwa masomo mawili ya Historia kwa darasa moja kwa shule moja. Mfano kidato cha nne wataspma masomo mawili ya Historia, moja somo la history litafundishwa kwa English na somo jingine la History litafundishwa kwa Kiswahili.
Sasa kuhusu kidato cha sita mfano PCB, watasiti kwa lazima somo la history linalofundishwa kwa kiswahili. That mean mwanafunzi wa PCB kidato cha sita kabla alikuwa anafanya mitihani ya kumalizia jumla ilikuwa paper 11, physics paper tatu. Biology paper tatu, chemistry paper tatu, Bam paper moja, social studies paper moja na sasa ataongezewa paper moja ya somo la history. Jumla zitakuwa paper 12.
Sasa kulingana na maelezo yake, yafuatayo yatajitokeza;-
1. Watahitajika walimu waongeze.
2. Vitabu vitungwe vipya
3. Mitihani itaongezeka gharama na siku za kusimamia
4. Muda wa masomo au vipindi itaongezeka
Na mengine mengi.
Ushauri: Mama huyu ninamshauri somo la history lililopo liboreshe kuanzia msingi Hadi sekondari kidato cha nne. Na liboreshe kidato cha tano na sita kwa wale wanaolisomea au combination zake tu. Pia anaweza kufanya language of instructions iwe Kiswahili ni sawa. Ila asiongeze liwe somo jipya na kuongea gharama ambazo hazistaili.
Alichokisema ni kuongea mzigo na gharama za bure kwa Baraza la mitihani Tanzania alikofanyia kazi pakamshinda.