Swali: CCM ni Chama Cha 'Mapinduzi' Yepi?

Swali: CCM ni Chama Cha 'Mapinduzi' Yepi?

maswali mengine nayo! ... kasome vitabu vya historia vya shule ya msingi utapata majibu... embu muwe serious bana
 
mara nyingi tumekuwa tukiiongelea ccm katika hali mbalimbali ,ninafahamu ukitafuta historia ya ccm huwezi kuitenganiasha na tanu,katiba ya tanu imebeba madhumuni yote ya azimio la arusha ambalo ni azimio la utu swali,je unakuweje ccm inaitwa chama cha mapinduzi baada ya kukiuka misingi ya azimio la arusha misingi ya utu? au ni mapinduzi gani haya?

Waliamua kukiita chama cha Mapinduzi huku kikiwa hakijawahi kupindua utawala wo wote. Ila kiliitwa Chama cha Mapinduzi ili kuwarubuni wa Zanzibar waitoe Afro-Shiraz Party yao kuingia ndani ya TANU. Pasipo kuweka neno mapinduzi ASP wasingeungana na TANU.

Kitendo cha ASP kuingia ndani ya TANU ndiyo ikakoleza mapinduzi. ASP na Wazanzibar wooote wakapinduliwa. Maamuzi yao na mustakabali wao utaamuliwa Dodoma-wakapinduliwa wazenj.
Hiyo ndiyo maana halisi ya Chama cha Mapinduzi iliyofichwa chini ya busati.

Serikali ya Mapinduzi ilipinduliwa na Chama cha Mapinduzi.
 
Huwa najiuliza ivi tanganyika wkitawala chadema uku zenji chama ch mapinduzi itakuaje hali yetu ya siasa ?
 
Kilimpindua mkoloni muingereza aliekuwa anafaidi rasilimali za nchi yetu

Kafanye sup ya historia na civics, au ndo nyie raia wa kisomali mnaopewa uraia wa tz baada ya kuvaa vitenge vya kijan na njano
 
maswali mengine nayo! ... kasome vitabu vya historia vya shule ya msingi utapata majibu... embu muwe serious bana
We eleza ni kitabu gani kinaelezea hayo mapinduzi ya ccm au tanu.
Wacha kuwa vuvuzela
 
Kilimpindua manganyika ndiyo maana hajitambui anaibiwa maliasili bado anampigia makofi mwizi huyo wakati anapaswa kunyongwa wakati kibaka akiiba kilo ya unga anauwawa sasa hapo mko salama au mmepinduliwa miguu juu kichwa chini...
 

Waliamua kukiita chama cha Mapinduzi huku kikiwa hakijawahi kupindua utawala wo wote. Ila kiliitwa Chama cha Mapinduzi ili kuwarubuni wa Zanzibar waitoe Afro-Shiraz Party yao kuingia ndani ya TANU. Pasipo kuweka neno mapinduzi ASP wasingeungana na TANU.

Kitendo cha ASP kuingia ndani ya TANU ndiyo ikakoleza mapinduzi. ASP na Wazanzibar wooote wakapinduliwa. Maamuzi yao na mustakabali wao utaamuliwa Dodoma-wakapinduliwa wazenj.
Hiyo ndiyo maana halisi ya Chama cha Mapinduzi iliyofichwa chini ya busati.

Serikali ya Mapinduzi ilipinduliwa na Chama cha Mapinduzi.
Serikari ya mapinduzi ya zanzibar ilipinduliwa na serikari ya Tanganyika, kisha tanganyika ikachinjiwa baharini ili kupoteza ushahidi.
 
KUPINDUA MATOKEO HATA YAKE CHENYEWE,KILIMPINDUA JK KIKAMPA MKAPA1995,UJAMAA>UBEPARI 1990s,MATOKEO YA URAIS KM ZANZ,1995,BARA 2010,UBUNGE,UDIWAN,UMEYA UTHIBITISHO NIKUGWA KWA SHERIA KALI ZA UCHAGUZI BAADA YA BBC KUTOA MATOKEE YA UCHAGUZ ZANZ 1995.
 
We eleza ni kitabu gani kinaelezea hayo mapinduzi ya ccm au tanu.
Wacha kuwa vuvuzela

how aim i suppose to remember .. shughuisha ubongo wako we ndio mwenye shida... swali la jamaa ni home work ya wanafunzi wa darasa la tano na watalijibu vizuri tu , kuna baadhi ya maswali all you need is kufungua kitabu na utapata majibu! .. lakini unakuta mtu anakurupuka na kutupia thread ,,,
 


how {aim} {i} suppose{d} to remember .. shughu{l}isha ubongo wako we ndio mwenye shida... swali la jamaa ni home work ya wanafunzi wa darasa la tano na watalijibu vizuri tu , kuna baadhi ya maswali all you need is kufungua kitabu na utapata majibu! .. lakini unakuta mtu anakurupuka na kutupia thread ,,,
Muda mwingine tumia kiswahili, inaonekana unakimudu kiasi kuliko kiingereza.
Habari zinazoletwa hapa si za majibu ya ndio na hapana, bali zinaletwa ili wadau ambao ni 'GREAT THINKERS' suppossedly 'think tanks' waweze kufanya uchanganuzi yakinifu kwa lengo la kupata ukweli.
Njiwa humu umepotea, jaribu fb.
 
mara nyingi tumekuwa tukiiongelea ccm katika hali mbalimbali ,ninafahamu ukitafuta historia ya ccm huwezi kuitenganiasha na tanu,katiba ya tanu imebeba madhumuni yote ya azimio la arusha ambalo ni azimio la utu swali,je unakuweje ccm inaitwa chama cha mapinduzi baada ya kukiuka misingi ya azimio la arusha misingi ya utu? au ni mapinduzi gani haya?

Neno "mapinduzi" kwenye jina la hicho chama halina maana ya "coup d etat". sio kama mapinduzi ya kijeshi. Kwa wakati huo wakati walipokuwa wanaunganisha TANU na ASP, kiswahili tu kilikuwa kinatatiza, lakini maana halisi ya neno mapinduzi kwa kiingereza ni "revolution". Na ndio maana kwenye lugha za watu chama hicho kinajulikana kama "Revolutionary party".
 
Hata kudidimiza uchumi wa kuanzia miaka 1978 mpaka leo nayo ni mapinduzi tena makubwa.
 
Neno "mapinduzi" kwenye jina la hicho chama halina maana ya "coup d etat". sio kama mapinduzi ya kijeshi. Kwa wakati huo wakati walipokuwa wanaunganisha TANU na ASP, kiswahili tu kilikuwa kinatatiza, lakini maana halisi ya neno mapinduzi kwa kiingereza ni "revolution". Na ndio maana kwenye lugha za watu chama hicho kinajulikana kama "Revolutionary party".
Tuambie ni mabadiliko gani sasa wamefanya toka hiyo 1977.
 
Vitabu si wametunga wao hivyo hata majibu yatakuwa hayo hayo ya kwamba Tanzania ilipata uhuru 1961
 
kilipindua ATC, kilipindua Comoro, kilimpindua Idd amini,kikapindua general Tyre, Kikapindua Mkongea, kikapindua reli ya kati, kikapinduka kianja cha magunia moshi, kikapindua kila kitega uchumi cha nchi.Hawana mapindunzi ya maendeleo sijui yakijani, sijui ya tecj, sijui ya elimu, sijui ya nini hiyo hawaijui.
 
Back
Top Bottom