ng'wanamakamya
Member
- Nov 11, 2010
- 35
- 12
Kiukweli nami nimeboreka sana kwani nilisubiri kwa shauku kubwa kuona hali ya Dr. Ulimboka. BBC na VoA wametoa taarifa zao kuhusu tukio zima. But it is very amazing state tv inagbairi kutuhabarisha habari muhimu kama hii.