Wanabahati nimetoka kwenye ban jana tu!
Wametangazia huko nyumbani kwako?
nimeangalia mpaka habari za kitaifa zilipoisha na kama wemeirusha hiyo habari ni baada ya watu kuanza kulalamika hapa kwenye jf.
Mkuu hii habari wameitangaza mwishoni baada ya kumaliza taarifa za michezo
Hawajaripoti kwa kuwa Mheshimiwa Dhaifu amehusika.
why itangazwe mwisho, vp kuna tv station yoyote waliyofanya kama hao tbc ccm?
Muda mfupi uliopita nimemtaza live dr. Ulimboka on clouds tv jinsi alivyopata na mkasa huo, jamani imeendelea kuniumiza.
Maumivu yako hayafanani hata kidogo na maumivu ya wananchi wa tanzania wanaoteseka na unyama wa Dr Ulimboka na wenzake.Ulimboka umepata unachostahiki.
Kutangaza mwishoni ni issue nyingine
Hivi hawa wagonjwa wanaokufa mbona hamsemi kuna udhalilishaji au haki za binadamu ziko wapi? Mi nawashangaa sana nyie watu, wagonjwa wanakufa lakini hakuna hata anayewatetea, huyu jamaa katekwa, usiku huo huo yule mama wa mtandao kaamuka kuaza kufuatilia, hivi hao wagonjwa mbona hafuatilii kwa kasi hiyo???Inabidi wananchi tutangaze kwamba hii TV siyo yetu tena bali ni ya ccm na watu wake kwa hiyo isitishe kuchukua kodi zetu bali wanaoitumia waihudumie kwa faida yao wenyewe kwani sisi haina faida kwetu. Bila aibu bila kufikiria wameonyesha udhaifu wa hali ya juu kiasi kwamba inaonyesha kabisa na wao wanaungana na serikali yao kuendeleza unyanysaji na udhalimu wa haki za binadamu. Tusikubali wananchi tuwakatae TBC hata vin'gamuzi vyao tuviwekee mgomo wanunue wao na serikali yao ya ccm kwa faida yao wenyewe
Hivi hawa wagonjwa wanaokufa mbona hamsemi kuna udhalilishaji au haki za binadamu ziko wapi? Mi nawashangaa sana nyie watu, wagonjwa wanakufa lakini hakuna hata anayewatetea, huyu jamaa katekwa, usiku huo huo yule mama wa mtandao kaamuka kuaza kufuatilia, hivi hao wagonjwa mbona hafuatilii kwa kasi hiyo???
TBC nao waliionesha kama breaking News, tena wao walienda mbali zaidi kwa kumhoji Ulimboka kabisa, hii ilikuwa taarifa ya saa mbili usikuCurrent news kama hii kila media imeripoti kuhusu utekaji huu na unyama aliofanyiwa dr. Ulimboka lakini why Tbc hamjaripoti kulikoni? Kunani nyuma ya pazia?