Swala la Ulimboka kwa TBC sio habari!?

Sitashangaa viongozi wa serikali wakienda kumsanifu hospitali kwa kujidai wanaenda kumjulia hali kumbe wanajua walichopanga kumfanyia.

Lord have mercy.
 
Sincerely hawa Tbc wamenifumbua macho kile ambacho bado sitaki kuamini. Hata maneno ya Kova alivyoita press wamekataa kuyaonyesha, ujumbe wa WM liwalo na liwe nao umekatwa. Where r we Tanzanian heading? Kile kituo cha Rais Asadi watu wamevamia na kuua wafanyakazi watano kwa upuuzi huu huu. Mi niliamini taarifa ni haki yetu kumbe la. Tbc? kumbe kweli kuna taarifa mnazifichaga, aibu yenu. Sisi ndugu zake tukajua kama chombo cha taifa ndo mngekuwa na comprehensive news lo! mnatulazimisha tuamini? Juma Nkamia leo katoa malalamiko ya media kuwekwa kwenye mifuko ya politicians, kumbe ndo nyinyi? halafu kama Itv, star, chanel ten nk achana na social networks kibao zimerusha nani aliewashauri msitoe hbr hii, mbona hamkupima madhara ya kutoa au kutokutoa? na wawajibishwe kama sio mamlaka basi na Mungu. Naachana na Tbc rasmi tangu hii leo, kwaheri Mshana na sasa ninaikumbuka interview uliyofanyiwa na Kayanda wakati umepata hiyo post. Pole umechemka mzee.
 
Viva Star TV, ITV na wote mnaotoa taarifa na matukio muhim ndani ya nchi hii, waacheni waojifanya kazi yao kutangaza ziara za rais na kina Nape Nauye, tunawatabiria anguko si mda mrefu, kama hawaamini maneno yao wawaulize dada zao Uhuru na Habari leo kila siku kubaki kwenye meza za magazeti aibu!
 
itv, startv, ch.ten! Pia katika tamko lake alilolitowe bungeni leo asubuhi kuwa litakalo kuwa na liwe wameliondoa.

Hayo ndiyo madhara ya chombo cha habari kukosa uhuru wa kitaaluma. Kile ambacho TBC inafanya kuitetea serikali kama kasuku.
 
Ni kwa bahati nzuri sana tbc wamefanya haya wakati wawakilishi wetu wako mjengoni, hivyo ni mategemeo ya wengi wetu kuwa ni lazima wabunge wapenda haki wakemee hii tabia chafu ya tbc.
 
tbc inasikitisha hawajui kusoma alama za nyakati, hela yetu ya walipa watumie halafu wanafanya mizengwe kutoa habari, the game has changed tbc, which world are you? tbc wamejiandikia hukumu wenyewe! tbc ni kichefuchefu!
 
Mimi huwa siiangalii kabisa, nafahamu uzuzu wa hiki kituo sina haja nacho..ovyo kabisa..wanaonyesha jinsi walivyo na uwezo mdogo
 
Subiri tamko la Pinda kesho hilo wataliweka kwenye breaking news
serikali ikifanya kosa kesho kutoa tamko baya au linalokwenda kinyume na matakwa ya madokta nadhani HALI ITAKUA MBAYA SANA maana madokta wana hasira sana na kuumizwa vibaya kwa kiongozi wao Dr Ulimboka.
binafsi ITV ndio televisheni yangu ya TAIFA nyumbani kwangu, upuuzi wa TBCCM nilishasahau.
 
Ngoja nikae kimya mie wasije wakaniUlimbo.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
 
Current news kama hii kila media imeripoti kuhusu utekaji huu na unyama aliofanyiwa dr. Ulimboka lakini why Tbc hamjaripoti kulikoni? Kunani nyuma ya pazia?

Jamani mbona wametangaza na nchimbi akaongea. Mara mnasema mlishaacha kuangalia TBC1, mara hawaoneshi, mnajuaje sasa.
 
Napenda hii statement 'Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them!!!
sasa unategemea nini ndg wakati The like disolves like

 
Back
Top Bottom