Hata wasipotangaza haina impact. Kituo cha maghamba hawa jipya zaidi ya kumsifia kilaza JK eti dr na ile hali yeye ni 0wakuu tangu nimepata taarifa za kujeruhiwa vibaya kwa kiongozi wa madaktari nimeona star tv na itv wanatoa mara kwa mara kwenye habari kwa ufupi lakini hii tbc hiyo siyo habari nimeangalia taarifa zao mbili mchana huu habari kwao ni tamko la selikali juu ya mgomo huo hapo kesho hawa wehu wanamfanyia nani kazi?
nawasilisha
Wananchi wenyehasira kali si wanafiki au wachawi kufanya kazi usiku wa manane wao mchana kweupe (mfano wanavyomshughulikia mwizi). Taja alternative nyingine usiwasingizie heri unyamaze tu, isije laana yao ikakuangukia.Wananchi wanakufa mahospitalini kwa sababu ya ulimboka hamsemi, ila yeye kupigwa kidogo tu na watu wenye hasira kali mnapiga kelele keleleeeee
Tatizo halipo kwa Tv TBC tu ambayo cha kusikitisha ambayo inaendeshwa kwa kodi zetu,lakiniinasikitisha ya kua kunabaadhi ya blogs zinazojihita za jamii kama MICHUZI ambayo imekua kimya kwa tukio hili na baadaye inakuja na taarifa ya kamanda Kova MICHUZI: KAMANDA KOVA AZUNGUMZIA KUTEKWA KWA KIONGOZI WA MIGOMO YA MADAKTARI, DK. STEVEN ULIMBOKA nimaajabu katika tasimia ya habari tukio lilotokea kimya lakini katika hatua ya kutoka serikani inawekwa katika blog.Mwenyekiti ieleweke sio wote wanao tembelea tovuti zingine hivyo kututendea haki ingelikua vyemakama ungelituwekea historia fupi ya tukio lenyewe kabla ya kutuwekea jibu la Kamanda kova .Sisi tulishaacha kuangalia TBC siku nyingi. Na pia tulishawaambia ma Sponser waache kusponser TV pumbavu, nafikiri hawana muda watakufa kama mashirika mengine yaliyokuwa chini ya CCM na serikali yake. Vilevile mbona Issa Michuzi Blog inatuwekea Birthday na Malibeneke?
Nimeshtushwa sana na kitendo cha TBC kutotangaza mkasa uliompata Dr Ulimboka! Kwangu mimi ni sawa na TBC kumpiga Dr Ulimboka kwa mara ya pili baada ya hao walimtesa huko Mabwemapande. Sijui kama nitaangalia habari za TBC tena baada ya uhuni wa leo.
Wametangaza kuwa 'eti' serikali imeahidi kuwachukulia hatua 'baadhi ya madaktari' waliogoma hapo kesho siku ya alhamisi. Kwenye katiba yafaa tuombe TBC isitumie pesa za watanzania walipakodi labda ipate pesa kutokana na makato ya mawaziri na wakuu wa idara za serikali ambao ndo wanaitumia kufikisha ujumbe usiohitajika kwa watanzania wengine. Ogopa TBC sawa na homa ya mapafu. Inasikitisha sana kuona aina ya taarifa zilizotolewa wakati inajulikana Dr. Ulimboka ameumia vibaya sana. Hii ni aina nyingine ya hakikisho kuwa Dr. Ulimboka kaumizwa kwa mkono wa serikali vinginevyo wasingefanya 'sensoring' ya taarifa juu yake. TISS on work!
Subiri wataonyesha tamko kesho. (Shame to TBC) big up to itv.
hii inaonyesha shahir dhahir serikali inahusika haswa polisi pia. angalia lile tukio la yule SHUSHUSHU ambae mzushi Kova amejikanyaga kusema kwamba yule hakua shushushu wa UWT ila ni askari polisi mpelelezi!. wangemdedisha tu pambaf zake.